Mke wangu mchafu, nimeongea nimechoka

Mke wangu mchafu, nimeongea nimechoka

rafiki zangu wakija kwangu unajua ile mtu anagusa kitu kwenye dressing table halafu hakirudishii kilivyokuwa namaindi najikuta nishaenda kupanga, naambiwa nataka vitu vikae kama dukani kama ni logo za products zooooote zigeukie mbele..!!

Na Mungu alivyo, mchumba wangu anatupa vitu balaa, yaani nikiwa naye napata tabu naokoteza na ku re arrange kila sekunde, nilikuwa naongea mpaka imefika pahala naokoteza zangu, napanga hata sisemi tena..!!🙌
Obsessive compulsive disorder
 
Obsessive compulsive disorder
Yeah, nisha-Google, nishafahamu ni Compulsive Disorder, maana kila tabia walioweka ninayo, kuanzia washing hands over and over, arranging things in a very specific way, repeatedly checking things na kubwa zaidi numbers ritual, that's too me..!!🙌
 
Basiiiiiiii...
Mi niliwahi ishi na muha na alikuwa mwl tena degree holder ya udsm alikuwa anaamka asubuhi anapiga passport tu anasepa shule hapigi mswaki, kukuta sufuria lenye sizi juu ya sofa na hayupo ni kawaida kbs, kukuta vyombo vichafu mpk vina funza ni kawaida kbs, kutokuoga hata sku 3 kawaida kbs na tulikuwa dar na joto la dar mtu haoigi hao watu ni wachafu sn aisee sjui ni sehemu ya utamaduni wao wako sambamba na waangaza ndugu zao ni wachafu kuliko.
 
OCD final Boss

Pole dada, Jitahidi kucontrol ama sivyo utakuwa utakwazika hasa likija suala la kuishi na mwanaume na familia kwa ujumla, Unajua wanaume tabia yao, anavua shati anaacha kitandani, boxa chini, akiingia bafuni kunyoa ndevu unakuta kioo chote cha bafuni kimejaa nywele
 
rafiki zangu wakija kwangu unajua ile mtu anagusa kitu kwenye dressing table halafu hakirudishii kilivyokuwa namaindi najikuta nishaenda kupanga, naambiwa nataka vitu vikae kama dukani kama ni logo za products zooooote zigeukie mbele..!!

Na Mungu alivyo, mchumba wangu anatupa vitu balaa, yaani nikiwa naye napata tabu naokoteza na ku re arrange kila sekunde, nilikuwa naongea mpaka imefika pahala naokoteza zangu, napanga hata sisemi tena..!!
Mbona unateseka sana? Duuh
 
Back
Top Bottom