yusufu kanun
JF-Expert Member
- Jun 26, 2020
- 221
- 340
Tukisema marry your identities mnatuita wabaguzi hatujasoma! Ishi nae mpaka max
hahhaha na hii ioitokea amelazimishwa kama vile mimi siwez kubadiri dini ila wewe ndio ubadili tufunge ndio hii ni kama blackmailing fulani hivi ya kihuni ila mtu akibadili mwenyewe kwa utashi wake kwa kuvutiwa na hio imani hawa hawarudigi nyuma, utaona tu pisi imeanza kusikiliza gospel yenyewe anakula tutorial za bible kimyakimya anaomba apelekwe church bila shuruti alkadharika utaona mdada anaanza kufungu ushungi mwenyewe na ramadhani anafunga jua kabisa uyo ameelewa anachokitakaNinaye dadaangu alibadili dini akawa muislamu kisa ndoa.
Akija home anakuwa mkristo na kitimoto anakula, akirudi kwa mumewe swala 5. Siku Moja nilimchana aache huo unafiki anaoufanya, Mungu hapendi huo ujinga.
Mtu akibadili dini, tena kisa mapenzi, kuoa/ kuolewa natemana nae kabisa maana hao watu hawanagana misimamo, kusnitch nje nje.
Wee shangazii muacheni binti wa watu arudi ktk dini yake.Akirudi maana yake hakuna ndoa imeshavunjika mnaishi sogea tukae kuanzia sasa hivi
Ulivombadilisha ulimfundisha uislam?
Wewe unaswali swala tano?
Ulimfundisha kuswali na afuate mafundisho yake?
Hiyo midini yenyewe mmeletewa, mnaishika mtadhani ni ya kwenu.Habari wakuu
Naomben mnishauri
Mim nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa.
Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam KWENYE kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.
Tumeishi vizuri miaka yoote hiyo kwa aman na upendo.
Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama NAMPENDA niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.
Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.
Hebu nisaidieni
Aunt 😄njoo ule dakuWee shangazii muacheni binti wa watu arudi ktk dini yake.
Kaivunja Mwenyewe ndoa Kiburi ni Watoto Do like a Man 👨 Timua, Msaliti kama Wasaliti WengineHabari wakuu
Naomben mnishauri
Mim nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa.
Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam KWENYE kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.
Tumeishi vizuri miaka yoote hiyo kwa aman na upendo.
Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama NAMPENDA niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.
Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.
Hebu nisaidieni
Maji ya upako na mahubiri ya wachungaji yamemrudisha nyumbaniMwana mpotevu amerudi nyumbani
Hahahahaha..hivi huyo uliyemuita ni aunt kweli? MaanaAunt 😄njoo ule daku
Familia yenu ni dhaifu mnoNinaye dadaangu alibadili dini akawa muislamu kisa ndoa.
Akija home anakuwa mkristo na kitimoto anakula, akirudi kwa mumewe swala 5. Siku Moja nilimchana aache huo unafiki anaoufanya, Mungu hapendi huo ujinga.
Mtu akibadili dini, tena kisa mapenzi, kuoa/ kuolewa natemana nae kabisa maana hao watu hawanagana misimamo, kusnitch nje nje.
Wewe ni dini gani?Miaka 15 iliyopita nilitaka nijichanganye kuoa asiye dini yangu
Sasa wewe ndugu yangu ulitaka tukushauri nini katika jambo binafsi la imani ya mkeo?Habari wakuu
Naomben mnishauri
Mim nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa.
Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam KWENYE kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.
Tumeishi vizuri miaka yoote hiyo kwa aman na upendo.
Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama NAMPENDA niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.
Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.
Hebu nisaidieni
Ndipo kwenye AMANI 👍Habari wakuu
Naomben mnishauri
Mim nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa.
Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam KWENYE kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.
Tumeishi vizuri miaka yoote hiyo kwa aman na upendo.
Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama NAMPENDA niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.
Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.
Hebu nisaidieni
unatimua anaingia chumba Cha pili,endelea na uislamu wako mbinguni hao hawana kazi Kuna mahurlaina hayo mambo ni ya hapahapa.Kaivunja Mwenyewe ndoa Kiburi ni Watoto Do like a Man 👨 Timua, Msaliti kama Wasaliti Wengine
Mtupie majini! Nenda msikitini yaamuuru majini yamwingie na kumrejesha msikitini! Hayo majini yakishindwa basi mwache aendelee na Mungu wake!Habari wakuu
Naomben mnishauri
Mim nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa.
Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam KWENYE kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.
Tumeishi vizuri miaka yoote hiyo kwa aman na upendo.
Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama NAMPENDA niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.
Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.
Hebu nisaidieni
kama mkeo ni mkatoliki mnaweza kufunga ndoa ya mseto kila mmoja akabaki na dini yake,lakini kwanza chunguza ni kwanini amerudi kwenye dini yake?Habari wakuu
Naomben mnishauri
Mim nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa.
Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam KWENYE kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.
Tumeishi vizuri miaka yoote hiyo kwa aman na upendo.
Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama NAMPENDA niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.
Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.
Hebu nisaidieni