Mke wangu karudi kwenye dini yake

Ninaye dadaangu alibadili dini akawa muislamu kisa ndoa.

Akija home anakuwa mkristo na kitimoto anakula, akirudi kwa mumewe swala 5. Siku Moja nilimchana aache huo unafiki anaoufanya, Mungu hapendi huo ujinga.

Mtu akibadili dini, tena kisa mapenzi, kuoa/ kuolewa natemana nae kabisa maana hao watu hawanagana misimamo, kusnitch nje nje.
hahhaha na hii ioitokea amelazimishwa kama vile mimi siwez kubadiri dini ila wewe ndio ubadili tufunge ndio hii ni kama blackmailing fulani hivi ya kihuni ila mtu akibadili mwenyewe kwa utashi wake kwa kuvutiwa na hio imani hawa hawarudigi nyuma, utaona tu pisi imeanza kusikiliza gospel yenyewe anakula tutorial za bible kimyakimya anaomba apelekwe church bila shuruti alkadharika utaona mdada anaanza kufungu ushungi mwenyewe na ramadhani anafunga jua kabisa uyo ameelewa anachokitaka
 
Habari wakuu

Naomben mnishauri

Mim nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa.

Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam KWENYE kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.

Tumeishi vizuri miaka yoote hiyo kwa aman na upendo.

Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama NAMPENDA niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.

Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.

Hebu nisaidieni
Hiyo midini yenyewe mmeletewa, mnaishika mtadhani ni ya kwenu.
 
Habari wakuu

Naomben mnishauri

Mim nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa.

Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam KWENYE kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.

Tumeishi vizuri miaka yoote hiyo kwa aman na upendo.

Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama NAMPENDA niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.

Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.

Hebu nisaidieni
Kaivunja Mwenyewe ndoa Kiburi ni Watoto Do like a Man 👨 Timua, Msaliti kama Wasaliti Wengine
 
Ninaye dadaangu alibadili dini akawa muislamu kisa ndoa.

Akija home anakuwa mkristo na kitimoto anakula, akirudi kwa mumewe swala 5. Siku Moja nilimchana aache huo unafiki anaoufanya, Mungu hapendi huo ujinga.

Mtu akibadili dini, tena kisa mapenzi, kuoa/ kuolewa natemana nae kabisa maana hao watu hawanagana misimamo, kusnitch nje nje.
Familia yenu ni dhaifu mno
 
Habari wakuu

Naomben mnishauri

Mim nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa.

Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam KWENYE kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.

Tumeishi vizuri miaka yoote hiyo kwa aman na upendo.

Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama NAMPENDA niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.

Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.

Hebu nisaidieni
Sasa wewe ndugu yangu ulitaka tukushauri nini katika jambo binafsi la imani ya mkeo?
Ulitaka kumwacha kisa karudi kwenye dini yake?
Ulitaka kuitisha kikao cha ndugu ili hilo lijadiliwe?

Fahamu tu, imani ni suala binafsi tena jambo la rohoni, mkeo kaamua kuufuata moyo wake na kaamua kutokuwa mnafiki, hapo unatakiwa kumpenda zaidi, kumheshimu zaidi na kuwa karibu naye zaidi ili kuimarisha ndoa yenu.
 
Habari wakuu

Naomben mnishauri

Mim nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa.

Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam KWENYE kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.

Tumeishi vizuri miaka yoote hiyo kwa aman na upendo.

Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama NAMPENDA niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.

Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.

Hebu nisaidieni
Ndipo kwenye AMANI 👍
 
Habari wakuu

Naomben mnishauri

Mim nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa.

Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam KWENYE kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.

Tumeishi vizuri miaka yoote hiyo kwa aman na upendo.

Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama NAMPENDA niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.

Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.

Hebu nisaidieni
Mtupie majini! Nenda msikitini yaamuuru majini yamwingie na kumrejesha msikitini! Hayo majini yakishindwa basi mwache aendelee na Mungu wake!
 
Habari wakuu

Naomben mnishauri

Mim nilioa miaka 18 iliyopita mpaka niko na mke wangu tuna watoto kadhaa na mali kadhaa.

Sasa huyu mke wangu alikuwa mkiristo mimi muislam KWENYE kufunga ndoa ni yeye alibadil dini na tukafunga ndoa ya kiislam.

Tumeishi vizuri miaka yoote hiyo kwa aman na upendo.

Sasa hivi karibuni nimegundua mke wangu amerudi kwenye dini yake na nimemuuliza amekubali na amesema uislam umemshinda kama NAMPENDA niishi nae hivi hivi tu na ukiristo wake.

Sasa jamani niko njia panda sjui nifanyeje maana naona kama watoto wangu watahangaika mara leo mskitini kesho kanisani.

Hebu nisaidieni
kama mkeo ni mkatoliki mnaweza kufunga ndoa ya mseto kila mmoja akabaki na dini yake,lakini kwanza chunguza ni kwanini amerudi kwenye dini yake?
kuna sababu nyingine ambayo imefichika
 
Back
Top Bottom