Mke wangu kaliwa uroda

Bro huyo pedeshee haja ondoka nayo kachangamsha tu we endelea na Mkeo ila kila nduguyo akipata malaria mkeo atauza mechi... Ni hayo tu..
 
Msamehe
 
Enyi wanaume wapendeni wake zenu na kaani nao kw akili!!

kuna siri kubwa ipo hapa kwenye haya maneno!!
 
Hakuna kitu mbaya dunia kwa mwanaume kama hiyo kuchapiwa na ukajua kabisa aisee unaweza ukatafuna godoro kama kama mkate inauma balaa kumpiga huwezi ,kunywa sumu huwezi cha msingi kama hauna dozi najua kabisa utakuwa mgonga vyombo tafuta red wine moja matata saana kunywa then kaa chini tafakari kwa kina saana wapi ulikosea !!
 
Kajitolea uhai wake kwenda guest kuuza mwili, hivi akipata hiv na wewe utauza mwili wako kimuuguza? Anyway maamuzi ni yako
 
Sasa yeye huyo banker alimpataje kama sio michezo yake?
 
Haiwezi kuwa siri ya ndani
 
Nilifundishwa na wazee wangu;'usipende kutoa ushauri kwa watu waliopendana,ipo siku watarudiana na wewe ulietoa ushauri ukaonekana bwege'.nakushauri pambana na ndoa yako,jaribu kuainisha mabaya na mazuri yake na wewe mwenyewe ndio uamue.
 
Elfu lela ulela, esepo, kalume kenge amekataa kwenda shule, tukute imekamilika, isipo kamilika.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…