Mke wangu kachachamaa anataka tuachane!

Ni nani kakwambia kwamba kaka yangu kafa kwa ukimwi?
Nishasema kafa kwa ajali mwezi uliopita
i realy dought about your personality !!!!!kweli na kupita pita kwako unaweza kubali hilo pale pale ungewaambia nitawasaidia watoto lakini BUJUGWA LA MKEWE MIE SIGUSI WACHA LILIWE NA NYENYERE!!!SAIDIA HAO WATOTO ITS ENOUGH ACHA ULAFI UTAKUFA .NA INAWEZEKANA WEE NDIO ULIMUONDOA KWA AJALI ILI URITHI MKEWE KAMA SIO BASI WACHA MKEWE
 
Hivi mpaka sasa kwenye dunia hii kuna watu wenye akili hizi?tena mtu mwenye kujua even kuingia kwa mitandao ya Internet?
I wonder TAMAA zinakusumbua tu wewe!!
Sasa mtandao na mila vinaingiliana vipi?
Kusoma haimzuii mtu kufuata mila na desturi za kwao
Mimi ni mmatumbi halisi hata kama nimesoma mpaka PHD niaenzi mila za kwetu
 
Wewe ndio hujui, nani kasema kaka yangu kafa kwa ukimwi?
Acheni uzushi wenu hapa
 

Bora akuache maana hujastarabika hata kidogo!
 
sasa mtandao na mila vinaingiliana vipi?
Kusoma haimzuii mtu kufuata mila na desturi za kwao
mimi ni mmatumbi halisi hata kama nimesoma mpaka phd niaenzi mila za kwetu
to hell sasa ushauri unaomba wa nini hapa jf umeileta mada wakati ushaweka conclusion nashawishika wewe ndio umemuua kaka yako ili ubaki na mkewe potelea mbali
 
Hata angekuwa dada yangu lazima ningemwambia abofye kidude cha undo kwenye hiyo ndoa. Maana ukifa wewe, yeye na huyo mwingine watarithiwa na ndugu yenu mwingine!!!! Bofa ajiondokee zake
 
Mimi ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga.
Ukoo na mwengine sitakueleza
Kwa vyoyote utakuwa unatoka huko lushoto, ndiyo kuna kabila linafanana na kabila lingine la huko Moshi ndiyo wana hii mila.
 
Mila hazitaki hivyo ukikubali lazima uendeleze ukoo, kama usipofanya utaleta mikosi kwenye ukoo
 
to hell sasa ushauri unaomba wa nini hapa jf umeileta mada wakati ushaweka conclusion nashawishika wewe ndio umemuua kaka yako ili ubaki na mkewe potelea mbali
Nimetaka watu wa JF wanaishauri namna ya kumsihi mke wangu arudishe moyo nyuma tulee watoto..
haya ni mambo ya mila huwa hayakwepeki
 
Kwa vyoyote utakuwa unatoka huko lushoto, ndiyo kuna kabila linafanana na kabila lingine la huko Moshi ndiyo wana hii mila.
Hizi mila ziko Tanzania nzima sema tu siku hizi wengine wanazikana na ndio maana wanapata mikosi katika ukoo na wanakufa kufa hovyo
 

Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu hi dunia imekwisha kwa kweli
 
Hata angekuwa dada yangu lazima ningemwambia abofye kidude cha undo kwenye hiyo ndoa. Maana ukifa wewe, yeye na huyo mwingine watarithiwa na ndugu yenu mwingine!!!! Bofa ajiondokee zake
Alinipenda mwenyewe, na alikuwa anajua kuhusu mila zetu, ni vile tu ana wivu sana na wasiwasi kuhusu kupanda kwa gharama za maisha, lakini mimi ni mwanaume maisha hayatanishinda nitahakikisha familia haitetereki
 
Sasa mtandao na mila vinaingiliana vipi?
Kusoma haimzuii mtu kufuata mila na desturi za kwao
Mimi ni mmatumbi halisi hata kama nimesoma mpaka PHD niaenzi mila za kwetu
Tangu lini wamatumbi wakarithi wajane?
Isitoshe, Wamatumbi wako kilwa na sio Tanga.hata kwenu haupajui.umekariri hii mila ya kurithi wajane ndiyo unayoipenda na kuizingatia.
 
Mkubwa si umpe hiyo talaka ili kila mmoja ashike "mila" yake tu
 
to hell sasa ushauri unaomba wa nini hapa jf umeileta mada wakati ushaweka conclusion nashawishika wewe ndio umemuua kaka yako ili ubaki na mkewe potelea mbali

Umeona ehhhhh.......usije mruhusu pacha wako FP aolewe na hili kabila.
 
mpe mkeo talaka, oa huyo mke wa kaka ako, . .
Sometimes advice is what we know but just ask for justification.
 
Alinipenda mwenyewe, na alikuwa anajua kuhusu mila zetu, ni vile tu ana wivu sana na wasiwasi kuhusu kupanda kwa gharama za maisha, lakini mimi ni mwanaume maisha hayatanishinda nitahakikisha familia haitetereki
Kwaiyo ukifa wewe itakuwaje?
 
Tangu lini wamatumbi wakarithi wajane?
Isitoshe, Wamatumbi wako kilwa na sio Tanga.hata kwenu haupajui.umekariri hii mila ya kurithi wajane ndiyo unayoipenda na kuizingatia.
Hukunielewa.
Mmatumbi inasimama kama muafrika halisi, ndio nilikuwa namaanisha..
Lakini pia Tanga mbona wapo sana wamatumbi, wayao, wanyamwezi, wawemba, waha warundi, wanyarwanda na wasukuma
We nenda pale Kwa Lukonge utawakuta wengi tu
 
Alinipenda mwenyewe, na alikuwa anajua kuhusu mila zetu, ni vile tu ana wivu sana na wasiwasi kuhusu kupanda kwa gharama za maisha, lakini mimi ni mwanaume maisha hayatanishinda nitahakikisha familia haitetereki

Umebugi meeeeeeeeeeeeeeen!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…