kvelia
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 246
- 44
Wataalam na wenye uzoefu wa malezi ya watoto wadogo kuanzia siku sifuri na kuendelea. Mwanangu wa kwanza ana siku nne kwa sasa, Imenilazimu kutumia lactogen (1) ili kuongeza kiwango cha maziwa anachokihitaji mtoto. Natambua umuhimu wa maziwa ya mamake lakini bila kufanya hivyo hali ingekuwa mbaya. NAOMBENI MSAADA NIFANYEJE ILI MKE WANGU APATE MAZIWA YA KUTOSHA. NITASHIKURU SANA WAKUU.