Mke wangu hatari kwa uchumi wangu

Mke wangu hatari kwa uchumi wangu

Umemkosea mkeo. Umezini nje ya ndoa mpaka kupata watoto. Bado mkeo yupo na anakuvumilia. Watoto Mungu ndiye anatoa.Unataka watu wakupe sababu ya maana ili umwache labda uoe mchepuko wako . Mimi nafikiri wala usimwekee mtego mkeo ili upate sababu wewe mpe talaka yake halafu uje uone kama maisha yatakunyookea.
 
Dah....Kapime ngoma...kapime DNA ya hao watoto....kisha ndiyo uje hapa[emoji87] [emoji14] [emoji41]
 
Mbona wewe unaonyesha una mbegu?? Unamsaliti kila SAA?, amaa kweli, ukistaajabu ya Musa utayaona ya mleta mada.
 
Mi natabiri kuvunjika kwa ndoa yenu, hata kama wewe utakuwa umeamua muishi tu!
ndoa yenu ina matatizo yanayovunja 90% ya ndoa

1. kutokuwa na uelewano ktk fedha
2. Mke kutopata uzazi
3. mke kudhamini kwao kuliko kwake (popo)
Mke mke mke. Hivi huoni usaliti wa mleta mada?
 
Mkuu hyo ndio ndoa,usikate tamaa mwanamke ni mwanafunzi kwetu japo mama zetu ni walimu kwetu.Tambua kwamba unakipimo unahtaji kukivuka hapo usiogope sana.majaribu madogo tu ila japo wanasema "HERI UCHUMBA ULIOVUNJIKA KULIKO NDOA ISIYOKUWA NA UPENDO,FURAHA,NA AMANI" Akil kuchwani kwako. HAKUNA MSHAURI MZURI ZAIDI YA MOYO WAKO NA NAFSI YAKO"
Jifunze kuendesha familia kama mkuu au kichwa cha familia kwa kutoa maelekezo ya mwelekeo wa familia, maamuzi magumu kama Rais wetu alivyo ktk mambo ya msingi. Mtoto umleavyo....
 
Usifanye hivyo bwana watoto wa nje si tayari unao sasa nini tatizo. Habari ya uchumi nchi nzima kumetibuka, kupenda kujifanya maisha poa ndio udhaifu wake na ni wakawaida tu. Mbona wewe unatomba nje mpaka unapata makaswende yeye yupo tu. Be fair and smart, hao wenye uwezo wa kizaa watakufelisha nakwambia tena. As far ushazaa watoto 2. Huyo wa kwenye ndoa we piga k tu na tulizana
 
Back
Top Bottom