chiefnyumbanitu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 906
- 426
pole akili kichwani mwako
Hawa ndo wale washkaji anakupigia simu anakuomba umkope pesa ya kwenda kumtoa wife hostipal amejifungua..Unajiuliza huyu kipindi chote alikuwa anaiangalia mimba kama sinema amasubiria akikaribia kuifungua ukakope
utoto unawasumbua siku mkikuwa mtaacha!Habari zenu wana Jf,
Wenzangu,
Kuna jambo lina nisumbua mwenzenu, mke wangu ana uja uzito wa miezi mitano, kila mda anataka kusex nikishinda nyumbani hiyo ndo kazi.
Kazini siendi nikitaka kuondoka analia afu anasema tuondoke wote bila hivo nyumbani hakuna amani kabisa yaani hapakaliki, hapa nilipo pesa zote nimekula sina kitu ila yeye hilo halitambui.
Naombeni ushauri wenu wakuu nifanyeje? Maana mke wangu nampenda sana sipendi nione akilia naumia sana.
Habari zenu wana Jf,
Wenzangu,
Kuna jambo lina nisumbua mwenzenu, mke wangu ana uja uzito wa miezi mitano, kila mda anataka kusex nikishinda nyumbani hiyo ndo kazi.
Kazini siendi nikitaka kuondoka analia afu anasema tuondoke wote bila hivo nyumbani hakuna amani kabisa yaani hapakaliki, hapa nilipo pesa zote nimekula sina kitu ila yeye hilo halitambui.
Naombeni ushauri wenu wakuu nifanyeje? Maana mke wangu nampenda sana sipendi nione akilia naumia sana.