Mke wangu hataki niende kazini

Mke wangu hataki niende kazini

Utakuwa unamtekenya tu hivi kama unajituma haswa na hiyo mimba si anachoka na kuwa hoi sidhani kama ukishugulika apasavyo atakusumbua muhim tafuta pesa
 
Aiseeee...😕
Nikimaliza kushangaa nitarudi niseme chochote
 
Duuuh pole mkuu.
Ila uwe unamtoroka...akiamka asikukute.
Kwan akinuna mimba itatoka?
 
Ni jana tu nilimbishia mtu kuhusu hili kumbe it happens. Pole kaka. Mimba zina mambo sana.
 
Pole mkuu kwa kuwa na wakati mgumu ambapo unasubiri kiumbe kipya. Mtafutie kitu cha kumdanganya abakie mwenyewe maana unaeza usifanye kazi lakini mkipata zawadi ya mtoto mtamtunzaje?
 
Rahisi, amkeni wote mjiandae anakusindikiza huko kazini kwani shida iko wapi
 
Mkeo ana umri gani mkuu, ili tujue mchawi.
 
Hvi why vijana mnaoana mkiwa bado watoto,sasa wewe ndo baba then ishu ndogo ka hii unaileta huku jf kuomba msaada!
 
Ati uache kwenda kazini........akiacha kulia yeye......utaanza kulia wewe.....komaa na job wewe......
 
Mkuu naona huzijui tabia za wanawake, mwanamke siku zote anapenda awe anakuona au uwe nae karibu,harafu kikikosekana kitu wa kwanza kukulaumu kwamba hukutimiza wajibu wako kama mkuu wa kaya.

Asikwambie mtu kila mmoja anaipenda familia yake,hivyo ni mhimu kufanya kazi ili kuleta mahitaji na usitawi wa familia.

Kulia kwa mkeo hakubadili ukweli wa wewe kuendelea na majukumu yako,unachopaswa wewe ni kumweleza ukweli akubali au asikubali wewe hilo sio wajibu wako,nenda kazini fanya kazi utamkuta jioni.
 
Habari zenu wana Jf,

Wenzangu,

Kuna jambo lina nisumbua mwenzenu, mke wangu ana uja uzito wa miezi mitano, kila mda anataka kusex nikishinda nyumbani hiyo ndo kazi.

Kazini siendi nikitaka kuondoka analia afu anasema tuondoke wote bila hivo nyumbani hakuna amani kabisa yaani hapakaliki, hapa nilipo pesa zote nimekula sina kitu ila yeye hilo halitambui.

Naombeni ushauri wenu wakuu nifanyeje? Maana mke wangu nampenda sana sipendi nione akilia naumia sana.
utoto unawasumbua siku mkikuwa mtaacha!
 
we kapige kaz akjfungua atakula mawe???? yupo kaka alikua fundi wa nyumba naye mkew akawa hatak mmewe aende kazin.Bas akawa anamfuata mmewe mwishowe akachoka mbona alitulia
 
Habari zenu wana Jf,

Wenzangu,

Kuna jambo lina nisumbua mwenzenu, mke wangu ana uja uzito wa miezi mitano, kila mda anataka kusex nikishinda nyumbani hiyo ndo kazi.

Kazini siendi nikitaka kuondoka analia afu anasema tuondoke wote bila hivo nyumbani hakuna amani kabisa yaani hapakaliki, hapa nilipo pesa zote nimekula sina kitu ila yeye hilo halitambui.

Naombeni ushauri wenu wakuu nifanyeje? Maana mke wangu nampenda sana sipendi nione akilia naumia sana.

1. Ukishinda nyumbani anataka kusex basi usishinde.
2. Ukitaka kuondoka analia, kabla ya kuondoka mpe anachotaka..
 
Back
Top Bottom