Mke wangu hataki niende kazini

Mke wangu hataki niende kazini

PRINCEBOY

Member
Joined
Apr 23, 2014
Posts
73
Reaction score
52
Habari zenu wana Jf,

Wenzangu,

Kuna jambo lina nisumbua mwenzenu, mke wangu ana uja uzito wa miezi mitano, kila mda anataka kusex nikishinda nyumbani hiyo ndo kazi.

Kazini siendi nikitaka kuondoka analia afu anasema tuondoke wote bila hivo nyumbani hakuna amani kabisa yaani hapakaliki, hapa nilipo pesa zote nimekula sina kitu ila yeye hilo halitambui.

Naombeni ushauri wenu wakuu nifanyeje? Maana mke wangu nampenda sana sipendi nione akilia naumia sana.
 
Habari zenu wana Jf wenzangu,kuna jambo lina nisumbua mwenzenu,mke wangu ana uja uzito wa miezi mitano,kila mda anataka kusex niki shinda nyumbani hiyo ndo kazi,kazini siendi nikitaka kuondoka analia afu anasema tuondoke wote bila hvo nyumbani hakuna amani kabisa yaani hapakaliki,hapa nilipo pesa zote nimekula sina kitu ila yeye hilo hali tambui
naombeni ushauri wenu wakuu nifanyeje? maana mke wangu nampenda sana sipendi nione akilia naumia sana.
Are you left hand?
 
subiria akikaribia kuifungua ukakope
Maloveeeeeeee!!!!!!!!!!!!!! Shemeji anapenda dyudyu kuliko chakula mezani...Mimba za wakware sina shida uliona wapi swala akafugwa na mbuzi??????????????????????
 
Maloveeeeeeee!!!!!!!!!!!!!! Shemeji anapenda dyudyu kuliko chakula mezani...Mimba za wakware sina shida uliona wapi swala akafugwa na mbuzi??????????????????????
kwa mtoa mada anafanya hivyo
 
Eti eh! umenikumbusha wimbo wa baba levo "vuvuzela" ha ha ha haaa
 
Daah pole sana mkuu. Inaonekana mke wako ana-genye hatari. Ila asikuwambie mtu hela ni ya muhim sana kipind hiki akiwa mjamzito. Tafuta pesa ili wakati wa kijfungua asije akapata shida. Pia yapo matumiz ya mtoto na unavyojua uzazi wa karne hii ni ghalima kila kukicha. Ushauri wangu ni kuwa umweleze wazi kabsa kuwa unatafuta pesa kwa ajir yake wakati wa kujifungua. Pili kama ni haki ya ndoa basi muwekee rataba ya kumudwinya kila unapotoka kazin jioni then wakati wa asubuhi unapotaka kutoka hakikisha mwanaume umejituma kikamilifu kwa mkeo then ndo uende kazin
 
Amekuona mkeo akaona panabonyea,ivi kweli unataka ushauri kwenye hili pia? hakuna asiempenda mkewe ila kua na malengo muhimu ebu fanya sikumoja uwe huna hela kuanzia asubuhi mpaka jioni halafu tuone kama huo mchezo utanoga...
 
Wanavimbwembwe hao. Ww tafuta pesa, ukijifanya kufuata atakayo yeye utakuja kuumbuka shaur yako.
Hicho ndio kipind cha maandalizi sasa ww lala
 
Aache kujiendekeza. Kama vipi akufate huko kazini kwako na akifika genye zukipanda sana avue nguo hapohapo ndo tutaamini kwel huyo mgonjwa wa ashki. Vinginevyo ACHENI UTOTO.
 
Back
Top Bottom