Mke wangu hapati mimba...

Mke wangu hapati mimba...

Jamani ndugu zangu mke wangu toka nimuoe Nina miezi nae sita. Tatizo ajapata mimba mpaka Leo baba mkwe ana lala mika anajuwa tuna tumia uzazi Wa mpango lakini si kweli nilimchoma ya miezi 3 tu. Lakini iliisha toka mwezi Wa 4 cha ajabu mimba mpaka sasa ajapata je itakuwa kuna tatizo.
Nenda hospitali, ndio tatizo la wavulana.
 
Jamani ndugu zangu mke wangu toka nimuoe Nina miezi nae sita. Tatizo ajapata mimba mpaka Leo baba mkwe ana lala mika anajuwa tuna tumia uzazi Wa mpango lakini si kweli nilimchoma ya miezi 3 tu. Lakini iliisha toka mwezi Wa 4 cha ajabu mimba mpaka sasa ajapata je itakuwa kuna tatizo.
Miezi sita ni michache sana
Na kama umetumia uzazi wa mpango vuta subira hiyo sumu iishe
kwa ushauri zaidi ni Dm nikupe maelekezo ya chakula
 
miezi 6 tu, kuwa na subira ndugu. Sarah na Ibrahim walimpata Isaac wakiwa kwenye umri wa uzee. Kikubwa ni kumuomba Mungu tu.
 
Jamani ndugu zangu mke wangu toka nimuoe Nina miezi nae sita. Tatizo ajapata mimba mpaka Leo baba mkwe ana lala mika anajuwa tuna tumia uzazi Wa mpango lakini si kweli nilimchoma ya miezi 3 tu. Lakini iliisha toka mwezi Wa 4 cha ajabu mimba mpaka sasa ajapata je itakuwa kuna tatizo.

Nendeni Hosp! Mkacheki afya ya uzazi.
Kutumia uzaz wa mpango ni nidham ya woga kwa wanandoa wachanga, kama ni mkeo ndiye alikushaur upige hyo sindano ya mpango. Bado nawaza inawezekana bado hajaamua kuzaa kwa wakat huu. Uwe mdadisi wakat mwingine usichukulie mambo juu juu.
 
Jamani ndugu zangu mke wangu toka nimuoe Nina miezi nae sita. Tatizo ajapata mimba mpaka Leo baba mkwe ana lala mika anajuwa tuna tumia uzazi Wa mpango lakini si kweli nilimchoma ya miezi 3 tu. Lakini iliisha toka mwezi Wa 4 cha ajabu mimba mpaka sasa ajapata je itakuwa kuna tatizo.
So unataka apatiwe mimba hapa jamiiforum?
 
Na Mimi nataka mtoto kwa sasa.
Nakupa hii dawa bure kabisa, katengeneze wewe mwenyewe. Chukua mizizi ya tulatula/ndulele chemsha atumie kikombe cha roho asubuhi kabla hajala kitu chochote na jioni nusu saa kabla ya chakula cha usiku atumie siku saba tu. Baada ya hapo shughulika vizuri na mkeo, mimba itashika fasta.
 
Poleee ni swala la muda tu ukitumia sindano huwa unachelewa kupata mimba but inategemea.
 
Hyo depo provera n msala watu wanakaa hadi miaka mitano hawashiki mimba kisa hayo madawa ya uzazi.Japo mm n mtu wa afya ila hizi dawa na njia za kisasa n msala naziona.Nenda hosp tena kuna dawa utapewa alafu zidisha mechi za kwenye siku za hatar.
Pole kwa hofu but atakuwa poa tu shem.
Ahsante mkuu
 
Nakupa hii dawa bure kabisa, katengeneze wewe mwenyewe. Chukua mizizi ya tulatula/ndulele chemsha atumie kikombe cha roho asubuhi kabla hajala kitu chochote na jioni nusu saa kabla ya chakula cha usiku atumie siku saba tu. Baada ya hapo shughulika vizuri na mkeo, mimba itashika fasta.
Ahsante
 
Back
Top Bottom