Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,741
- 3,544
Nendeni hosptali mkapimwe wote. Suala la mimba siyo la mwanamke pekee
Kwanza maisha yalikuwa mabaya kwangu nika mchoma sindano Mke wangu ili asi pate mimba lakini nili mpa sili shemeji yangu kwamba tuna tumia uzazi Wa mpango sasa yule shemeji akamwambia baba mkwe. Baba mkwe aka kasirika. Ikabidi ni mdanfanye tu mambo yaende sawaKwanza kabisa kudanganya wakwe si kitu kizuri. Kwa nini unadanganya wakati mke wako mwenyewe?
Pili, mimba si kitu cha mara moja, unaweza kukaa mwaka mnatafuta mimba, kwa nini unafanya papara?
Tatu, kwa nini hutafuti ushauri wa wataalam?
bado mapema sana mkuu...au fanya muende hospital mkaonane na wataalamu.Jamani ndugu zangu mke wangu toka nimuoe Nina miezi nae sita. Tatizo ajapata mimba mpaka Leo baba mkwe ana lala mika anajuwa tuna tumia uzazi Wa mpango lakini si kweli nilimchoma ya miezi 3 tu. Lakini iliisha toka mwezi Wa 4 cha ajabu mimba mpaka sasa ajapata je itakuwa kuna tatizo.
Kapime hospitalini kama imeungua jumla au Baada ya muda ,Hakuna vitu vibaya ktk maisha kwa cku hizi kama uzazi wa mpango kupitia Vituo vya Maria stop /Hirizi za kizunguKwaiyo nifanyeje mkuu.
anayetaka mtoto ni wewe au huyo baba mkwe? inavyo-onekana wewe huna shida na mtoto ndiyo maana uli-mdunga sindano mkeo mapema na kumuhalibia kizazi chacke kabisa.




Pole mkuu, jaribuni kupunguza msongo wa mawazo ikiwezekana ombeni likizo mwende vacay kama week hivi mambo yatajipa,Jamani ndugu zangu mke wangu toka nimuoe Nina miezi nae sita. Tatizo ajapata mimba mpaka Leo baba mkwe ana lala mika anajuwa tuna tumia uzazi Wa mpango lakini si kweli nilimchoma ya miezi 3 tu. Lakini iliisha toka mwezi Wa 4 cha ajabu mimba mpaka sasa ajapata je itakuwa kuna tatizo.
Ahsante. Kuna mtu kaniambia pm anayo Dawa ya kuua sumu ya sindano je kweli ipo.Kama umetumia dawa namaanisha sindano lazma mwanamke achelewe kubeba mimba,unashauriwa kutumia uzazi wa mpango kwa mtu mwenye mtoto tuu,kupata mtoto utapata ila utachelewa nadhani mwaka unaeza ukaisha kwa sababu nna rafiki yangu nae alisha taabika mpaka mwaka ukaisha,kwaiyo miezi sita bado mapema ila vizuri nendeni hospital kwa ushauri na uchunguzi zaidi
Hyo depo provera n msala watu wanakaa hadi miaka mitano hawashiki mimba kisa hayo madawa ya uzazi.Japo mm n mtu wa afya ila hizi dawa na njia za kisasa n msala naziona.Nenda hosp tena kuna dawa utapewa alafu zidisha mechi za kwenye siku za hatar.Jamani ndugu zangu mke wangu toka nimuoe Nina miezi nae sita. Tatizo ajapata mimba mpaka Leo baba mkwe ana lala mika anajuwa tuna tumia uzazi Wa mpango lakini si kweli nilimchoma ya miezi 3 tu. Lakini iliisha toka mwezi Wa 4 cha ajabu mimba mpaka sasa ajapata je itakuwa kuna tatizo.
😀 😀 😀 😀 😀 😀 mkuu una maanisha kina sholo mwamba na msaga sumuNikisha kuwa na demu akiniambia upuuzi wa mpango wa uzazi, napiga chini fasta, hayo masindano ndiyo yanayo kuja kuwapa watoto wa ajabu wapenda singeli