saw sawAhsante mkuu
Yaani umeoa mke ukamdunga misindano ya majiraKwa nini?.
Kwa sasa naitaji mtoto mkuu. Niliogopa kwa sababu nilifukuzwa kazi ila sasa hivi mambo mazuri.Yaani umeoa mke ukamdunga misindano ya majira
Miezi 6 tu tyr unalalamika
Cha ajabu ni kama vile ww halikusumbui isipokuwa wakwe(seriously)!
Kutia mimba inataka bidiihaswaaaaa, sio umezoea kushindia tujichips daily nguvu za kutafuta kwa torch - sahau
Hapana mizimu yangu ita nilinda sio mungu najuwa wewe kiranga uamini mungu![]()
![]()
Kula vizuri na kwa wakati hlf kazana kuchapa miti mkeo bila kukata tamaa mimba itaingia vinginevyo itakulazimu kuwaona wataalamu wa afyaKwa sasa naitaji mtoto mkuu. Niliogopa kwa sababu nilifukuzwa kazi ila sasa hivi mambo mazuri.
Nifanyaje sasa mkuu ili niweze kumpa mimba mwezi huu kwa sababu nime wadanganya hanamimba changa.Kuna watu hata hiyo mizimuyako kama inalipa wanaweza kuimendea.
Leo nilikuwa naangalia videos jamaa wanaongelea aliens watakuja kuvamia dunia kutoka sayari nyingine, jamaa mmoja akasema yeye kama wanakuja aliens wanawake wazuri wazuri hana noma nao, atajichanganya nao tu.
Kuna watu hawana akili nzuri.
Unaweza kuomba mizimu ikulinde watu wakaomba uraia mpaka kwenye mizimu yako.
Kwanza kabisa kudanganya wakwe si kitu kizuri. Kwa nini unadanganya wakati mke wako mwenyewe?Nifanyaje sasa mkuu ili niweze kumpa mimba mwezi huu kwa sababu nime wadanganya hanamimba changa.