Mke wangu hapati mimba...

Mke wangu hapati mimba...

Hapa kuwa mwanagalifu, kuna mabazazi watataka kukusaidia kazi.
 
Last edited:
Kupata au kutokupata mimba ni mambo ya pande zote mbili..Either wewe au yeye ndo anatatizo au mnakutana siku ambazo sio za kutunga mimba..

Nendeni hospitali mpate ushauri
Kazi zangu saingine na lala kazini ila muda mwingi na lala nyumbani.
 
Umekosea sana kumchoma iyo cndano huwa ni mbaya sana hapo nendeni hospital mkapate ushauri (huwa wanashauri kutumia uzazi wa mpango ukiwa tayari na watoto koz lolote laweza tokea)
Kwaiyo tumearibu anaweza asipate tena.
 
Inawezekana tatizo liko upande wako chief. Jaribu kwenda hospital ufanye vipimo kama sperm count etc.
Unaweza kumshikia bango wife kumbe tatizo liko upande wako.
Kila la kheri.
Ahsante ila Mimi najiamini mzima.
 
Bado ni mapema mno kuzan kuna tatizo pia sindano zikitumiwa huwa zinachukua muda fulan hadi kushika mimba hivyo vuta subira
 
Kwanini alichoma sindano ilihali hakuwai kuwa na mtoto?
 
Jamani ndugu zangu mke wangu toka nimuoe Nina miezi nae sita. Tatizo ajapata mimba paka Leo baba mkwe ana lala mika anajuwa tuna tumia uzazi Wa mpango lakini si kweli nilimchoma ya miezi 3 tu. Lakini iliisha toka mwezi Wa 4 cha ajabu mimba paka sasa ajapata je itakuwa kuna tatizo.
Paka amefanya nini tena? Sijaelewa naona mara miezi sita mara paka mara mimba
 
Ahsante ila Mimi najiamini mzima.
Basi sawa. Ila ukienda kupima utapata hakika na kujiamini zaidi. Haya mambo yapo sana katika jamii iliyotuzunguka. Tunawatupia mpira wakina mama na kukwepa uhalisia/ukweli. Vyakula na lifestyle ya sasa vimetuathiri sana Wanaume wa kizazi hiki. Ni muda muafaka umefika wa kujadili kwa kina masuala ya uzazi kwa sisi wakina Baba.
 
Hii ni sawa na kununua shamba lenye rutuba af unaondoa udongo wote na kumwaga moramu!
 
Back
Top Bottom