Benjonathantz
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 237
- 52
- Thread starter
- #21
Pamoja sana ndugu....
Naamini ni Mungu aliyehusika kuiponya familia ile...!!
Wewe ndiye unaeyajua hayo kwa wengine uponyaji ni uponyaji haijalishi mtu anaponajePepo hawezi kumtoa pepo mwenziwe...
Wewe ndiye unaeyajua hayo kwa wengine uponyaji ni uponyaji haijalishi mtu anaponaje
Na mimi ni mmoja wapo wa wathirika katika hilo nawaombeni ushauri jamani kwa kupitia jamii forrum mnisaidie kwani nimempeleka kwa mchungaji ili atatue tatizo hili bado imekuwa kitendawili sasa naomba ushauri
Wazimu una matawi mengi bana!
Tutaliweka Kwenye Katiba Mpya...!