Duh! Ndugu yangu, hilo ni gunia la misumari, halibebeki. Kadiri unavyoligeuza ndivyo unavyolipa nafasi kukuumiza zaidi.
Ukitahamaki, amemaliza kujenga kwao halafu anakwambia samahani nilipotea njia.
Rejea TZ haraka, chukua mtoto wako, mpeleke kwa mama na yeye mpe mapumziko. Aelewe TZ wapo wanaoishi kwa chini ya Ts. 300,000 kwa mwezi, sasa ikiwa yeye 1.8 million pamoja na mshahara wake tuseme ni 200,000 tu, tayari anazo 2millions. Amka baba!