ngulyavyangu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2019
- 203
- 266
Ni mwaka wa Pili sasa tupo kwenye ndoa, nimejuananae toka tupo chuo mwaka wa kwanza.
Tuliishi pamoja ghetto hadi tunamaliza chuo, ivo namfamu vizuri Mke wangu na yeye ananifamu vizuri.
Mara baada ya kumaliza chuo nilibahatika kupata kazi kwenye kampuni moja ivi ya wachina, baada ya kufanya kazi kwa miezi kadhaa nikaona bora nimuite Mke wangu tuje tuishi Wote Kwani Wakati huo nilikua nimejitisheleza.
Wakati huo Mke wangu alikua Hana ili wala lile japo alishafanya interview nyingi tu lakini bado hakubahatika kupata kazi, kwa kipindi chote hiko Mimi nafanya kazi nilikua namtia moyo, kipindi chote hiko nafanya kazi hajawai kulala na njaa wala fashion yeyote kumpita.
Baada ya kukaa nyumbani takribani mwaka mzima bila kazi, Nakumbuka 11th mwezi 3 alifanikiwa kupata kazi kwenye taasisi moja ivi, Kwakweli turifurahi Sana hiyo siku, turimshukuru mungu kwa tusimamia na kupata kazi sote,.
Maisha yalienda tukiwa na furaha japo Kuna vitu vilinitatiza, japo Mke wangu anapokea mshaara Mkubwa Mara mbili yangu ila majukumu Yote ya kifamilia nilikua nayatekeleza Mimi, pesa yake sijui alikua anapereka wp Yaani hata gari anayotumia yeye Mimi ndie nilikua namjazia mafuta.
Kisanga kilianza baada ya mkataba wangu na wale wachina Kuisha, mwanzo mambo yalikua mepesi Mke wangu alinishauri na kunitia moyo, alikua anarudi kazini mapema japo kuna kazi nilikua nimeshazifanya km kufua, usafi wa nyumba n. K akirudi yeye kabla hata hajapumzika hunipikia chakula cha Jioni, asubuhi kabla hajaondoka huwa ananiachia kiasi cha pesa ya matumizi,,
Toka ile kazi imeisha yapata miezi minne sasa, nieleweke Sio kwamba kipindi chote hiki nimekaa tu nyumbani, nimehangaika na vyeti ofisi mbalimbali kutafuta kazi, Muda mwingi nipo na laptop yangu nafanya interviews online, kokote nikisikia Kuna nafasi za kazi mm huwa wa kwanza.
Shida kwa Mke zilianza takribani mwezi sasa, kidogo kidogo nikaanza kuona mabdiliko, akawa anachelewa kurudi, akirudi hanipikii anadai amechoka ivo ananipa pesa nikale mghawani na yeye anadai hajisikii kula, ila asubuhi lazma aache ela ya matumizi kwasababu anajua Sina ujanja wa kupata pesa.
Tumeenda ivyo mpaka majuzi Hari imeanza kuwa mbaya, akirudi hapiki wala hanipi pesa ya kwenda kula mghawani, mbaya zaidi asubuhi anaondoka aachi chochote,
Tena Jioni akirudi Hana hata Muda wa kunitazama yeye anaoga na kulala, Hataki hata kujua nimekula nini.
Naandika ivi toka Jana sijala, nyumbani Siwezi kupiga simu kuwaomba pesa kwasababu wanajua Mke wangu anafanya kazi mzuri tu.
Hari yangu mbaya Kwakweli nisaidieni hata kwa mawazo nifanyeje kwa Hari Hii niliyonayo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuliishi pamoja ghetto hadi tunamaliza chuo, ivo namfamu vizuri Mke wangu na yeye ananifamu vizuri.
Mara baada ya kumaliza chuo nilibahatika kupata kazi kwenye kampuni moja ivi ya wachina, baada ya kufanya kazi kwa miezi kadhaa nikaona bora nimuite Mke wangu tuje tuishi Wote Kwani Wakati huo nilikua nimejitisheleza.
Wakati huo Mke wangu alikua Hana ili wala lile japo alishafanya interview nyingi tu lakini bado hakubahatika kupata kazi, kwa kipindi chote hiko Mimi nafanya kazi nilikua namtia moyo, kipindi chote hiko nafanya kazi hajawai kulala na njaa wala fashion yeyote kumpita.
Baada ya kukaa nyumbani takribani mwaka mzima bila kazi, Nakumbuka 11th mwezi 3 alifanikiwa kupata kazi kwenye taasisi moja ivi, Kwakweli turifurahi Sana hiyo siku, turimshukuru mungu kwa tusimamia na kupata kazi sote,.
Maisha yalienda tukiwa na furaha japo Kuna vitu vilinitatiza, japo Mke wangu anapokea mshaara Mkubwa Mara mbili yangu ila majukumu Yote ya kifamilia nilikua nayatekeleza Mimi, pesa yake sijui alikua anapereka wp Yaani hata gari anayotumia yeye Mimi ndie nilikua namjazia mafuta.
Kisanga kilianza baada ya mkataba wangu na wale wachina Kuisha, mwanzo mambo yalikua mepesi Mke wangu alinishauri na kunitia moyo, alikua anarudi kazini mapema japo kuna kazi nilikua nimeshazifanya km kufua, usafi wa nyumba n. K akirudi yeye kabla hata hajapumzika hunipikia chakula cha Jioni, asubuhi kabla hajaondoka huwa ananiachia kiasi cha pesa ya matumizi,,
Toka ile kazi imeisha yapata miezi minne sasa, nieleweke Sio kwamba kipindi chote hiki nimekaa tu nyumbani, nimehangaika na vyeti ofisi mbalimbali kutafuta kazi, Muda mwingi nipo na laptop yangu nafanya interviews online, kokote nikisikia Kuna nafasi za kazi mm huwa wa kwanza.
Shida kwa Mke zilianza takribani mwezi sasa, kidogo kidogo nikaanza kuona mabdiliko, akawa anachelewa kurudi, akirudi hanipikii anadai amechoka ivo ananipa pesa nikale mghawani na yeye anadai hajisikii kula, ila asubuhi lazma aache ela ya matumizi kwasababu anajua Sina ujanja wa kupata pesa.
Tumeenda ivyo mpaka majuzi Hari imeanza kuwa mbaya, akirudi hapiki wala hanipi pesa ya kwenda kula mghawani, mbaya zaidi asubuhi anaondoka aachi chochote,
Tena Jioni akirudi Hana hata Muda wa kunitazama yeye anaoga na kulala, Hataki hata kujua nimekula nini.
Naandika ivi toka Jana sijala, nyumbani Siwezi kupiga simu kuwaomba pesa kwasababu wanajua Mke wangu anafanya kazi mzuri tu.
Hari yangu mbaya Kwakweli nisaidieni hata kwa mawazo nifanyeje kwa Hari Hii niliyonayo?
Sent using Jamii Forums mobile app
