NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,397
Mpe tuu hamna neno si mkeo? unampa mwili wako seuze PW?
Kabisaaa pokea like20000000000Kwenye ndoa hakuna privacy! Privacy kwenye ndoa ni dalili ya kukosa uaminifu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kinachotakiwa kuwa faragha mkishaoana, faragha ni nyote wawili. Kama mnaonana na kuingiliana uchi then faragha ije iwe social media account! Bank account!! Si ndo mwanzo wa kutoaminiana na kutayarisha kuvunjika ndoa huko baadae.Hakuna haja ya kumpa
nyie ni mwili mmoja ila kuna mambo yanatakiwa kuwa faragha ya mtu binafsi kama a/c za social media, bank n.k
Ila kama unaona ni sawa mpe tu
wanawake wana kero sana bora ht niongee humu lbd asira zng zitaisha.huyu wangu kila nikishika sim anaanza kuchungulia nafanya nn?!cha ajab yy mi simfwatilii na yuko biz na sim 24hrs ajab nikishika yng tu anaacha kutumia yk anaanza kuchungulia.mara ukirud aanze kuchungulia boxer km umegeuza aanze la kusema.amekaa kisharishari kila mda hd nafkiria ht nimtoroke
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio zao hizo,lengo ni kutaka kukuonyesha kuwa yeye ni mtakatifu sana.Za asubuhi wanajamii,
Mimi ni mzima wa afya,
Naomba niende direct kwenye mada kama kichwa kinavyojieleza mimi ni kijana nimeoa ka mwaka sasa umepita, tunaishi kwa furaha na amani tele but cha kushangaza tokea wiki iliopita mke wangu amekua akidai account nina mambo mengi sana na anataka nimpe password aniasidie kuisafisha.
Mimi sina chohote ninachomfichaga but sipendi kushare account password na mtu yeyote, sasa imekuwa ugomvi tuu.
Naomba ushauri nifanyeje?
NB; Lugha chafu hazikubaliki ni ushauri tuu naomba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una roho ya paka sana aiseee, mie siwezi kuishi hivo na mwanamkewanawake wana kero sana bora ht niongee humu lbd asira zng zitaisha.huyu wangu kila nikishika sim anaanza kuchungulia nafanya nn?!cha ajab yy mi simfwatilii na yuko biz na sim 24hrs ajab nikishika yng tu anaacha kutumia yk anaanza kuchungulia.mara ukirud aanze kuchungulia boxer km umegeuza aanze la kusema.amekaa kisharishari kila mda hd nafkiria ht nimtoroke
Sent using Jamii Forums mobile app
Chief kama ni swala la pasword tu si umpatie tu shemejiiiiii???au kama kuna agenda nyingine inayoendelea ni vyema ukawa muwaziZa asubuhi wanajamii,
Mimi ni mzima wa afya,
Naomba niende direct kwenye mada kama kichwa kinavyojieleza mimi ni kijana nimeoa ka mwaka sasa umepita, tunaishi kwa furaha na amani tele but cha kushangaza tokea wiki iliopita mke wangu amekua akidai account nina mambo mengi sana na anataka nimpe password aniasidie kuisafisha.
Mimi sina chohote ninachomfichaga but sipendi kushare account password na mtu yeyote, sasa imekuwa ugomvi tuu.
Naomba ushauri nifanyeje?
NB; Lugha chafu hazikubaliki ni ushauri tuu naomba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mumy ukiona jambo jepesi kama hilo mtu anakuja kutaka ushauri huku jua hana dalili ya kumpa zaidi anatafuta uongo wa kumdanganya ili asimpe.mpe si ni mkeo
Mumy ukiona jambo jepesi kama hilo mtu anakuja kutaka ushauri huku jua hana dalili ya kumpa zaidi anatafuta uongo wa kumdanganya ili asimpe.