Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,133
- 122,589
Kuna mahaba rafiki ila hayo ya kujipa wasiwasi wa moyo hapana kwa kweli bora ukutane nayo ila siyo yale ya kuyatafuta mwenyewe.Yaan hapo ndo aman itakapoanza kupeperuka! simama kiume naww! khaaa!atakuja siku atakuambia mbadilishane line zasimu! atakuja siku atasema twende wote job had unapotoka kazini!bla blah kibao kwasisi wanawake!USIMPE MUYEGO
Ila kazi anayo huyo bidada.
za mtu hata akiwa kwenye ndoa
♀️