Mke wangu ananiumiza kichwa

Huwa najiuliza ishu kama hizi zikinitokea nikija Kuoa nchukue uamuz gan? MaanA najijua huruma kwenye cheating ctakuwa nao
 
Hakunipa password bali account nilimfungulia mie na sikuwahi kufatilia...account yake ikasumbua na akawa hana ujanja kabisa ndio akaniambia nimrekebishie na kumbadilishia password ndio hapo hayo yote yakaibuka Mkuu wangu
Login upya afu badili password bila ye kujua
 
Huwa najiuliza ishu kama hizi zikinitokea nikija Kuoa nchukue uamuz gan? MaanA najijua huruma kwenye cheating ctakuwa nao
Hv kwanini mwanaume akicheat wanawake tunavumilia ila mwanamke akicheat hata kama mwanaume ndo kasababisha kuna zero tolerance??
Naomba kueleweshwa hapa, why can't u forgive a cheating wife akiomba msamaha ili muanze moja
 
Miye naumwa kichwa zaidi yako. Kuna kaswali kananisumbua sana kichwani. Je, haiwezekani kuwa umepunguza mawasiliano na mkeo?? Kama mnawasiliana vizuri kimwili na kiroho huyo mama atakuwa mjinga kiasi gani kukuambia ati umsaidie kutatua account yake ya fb??
Huenda hata haekewi inavyo fanya kazi lakini sasa akuombe kweli huku akijua kuwa kwa utaalam wako waweza pia kuisoma?? Kuna sababu hapo. Labda alitaka tu ufunguke ujue kuwa una mke nyumbani. Wanaume wengi huwa tunasahau wajibu wetu nyumbani. Mke sio wa kununulia unga na mboga tu bali na mawasiliano madogo madogo ni ya muhimu pia.
Swali la kizushi tu;
Mkuu. Umemwambia mkeo huyo;" Nakupenda" mara ya mwisho ni lini? Mwanamke bwana; anahitaji ugali mwingi sana, lakini maneno ya kumbembeleza mawili humshibisha kuliko ugali mwezi mzima.
 
Justifiable u knw,the guy hayupo miezi 3 afu ukute he never calls wala kumuweka mke karibu unategemea nini...baadhi ya waume mnajisahau sanaa
Cheating can never be justified....well at least according to me.
 
Mwanaume yuko radhi aseme pembeni nampenda sana LadyRed ila kuniambia mwenyewe live hasemii ng'oo,how can I know u never tell me??
Mwanamke sio mambo ya hela tu sijui vyakula na mavazi,jenga urafiki na mke wako ujue maisha yake yanaendaje hata ukiwa mbali
 
Umenikumbusha mbali sana. Mimi huwa sisemi. Ila niliwahi kuwa na pasua kichwa mmoja yeye always alikuwa ananiambia 'i know u love me even if you dont say it'.....matendo yana maana kuliko maneno, vitu unavyomfanyia mtu ni muhimu kuliko hizo three words I LOVE YOU....
 
Hahaha nna kisiki cha mpingo hiko hadi sangoma kaniambia he's madly in love Ila hajawahi sema,matendo tu yanaongea,..msemage jmn japo once in a year
 
Hahaha nna kisiki cha mpingo hiko hadi sangoma kaniambia he's madly in love Ila hajawahi sema,matendo tu yanaongea,..msemage jmn japo once in a year
Kumbe tuko wengi...
 
Ts not fair lakini yani,mtu hady niende kwa mtaalamu ndo nijue unanifeel bana
Jiongeze...ma care yote hujui unapendwa? Unataka kusikia 'I LOVE YOU'.....Maneno hayo hata kasuku anaweza kutamka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…