Mke wangu ananipiga vijembe sana WhatsApp status

Mke wangu ananipiga vijembe sana WhatsApp status

adden

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
7,033
Reaction score
15,699
Wazee kwa vijana
wadada kwa wamama.
Jina la bwana lihimidiwe!

Kwa muda mrefu sana hili jambo huwa linatokea baadae linapotea kisha linajirudia tena!

Huyu wife wangu amekuwa akirusha vijembe sana huku whatsap status! Kwa uchunguzi nimegundua kila ikitokea tumepishana kidogo kauli haipiti dakika unakuta ameweka status whatsup:

Mara "USIZARAU DAFU EMBE TUNDA LA MSIMU", siku yingine utakuta "KIKIWA NDANI CHAKO KIKITOKA SIO CHAKO"

LIMEKUSHINDA LIMAO UNAFATA NDIMU"
"WE NI KONOKONO KAMA KONOKONO WENGINE"
"UKITAKA HALUA KUNDU PANUA"

Hizo baadhi ya vijembe ambavyo moja kwa moja najua vinanihusu mimi ni zaidi ya hapo nishamkanya kama anaona tofauti yoyote anieleze kuliko kuanika huko ili kila mtu ajue tumekosana lakini hasikii!

Nikaanza kufikiria niwe namjibu lakini haitakuwa fresh kidume kurushiana maneno mitandaoni. Yaani hata akinipigia simu bahati mbaya sijapokea nikija kuingia tu whatsapp nakuta "MBUZI KUWA NA NDEVU SIO NDIO UANAUME" au "MWANAUME BUKTA".

Kiukweli huwa inanikosesha amani maana kila nikimweleza polepole hanielewi hembu nisaidieni mawazo nifanyaje!
 
pole kama umeshamweleza aelewe mwache aendelee na vijembe vyake we kuwa kama husomi tena mwisho atajiona mjinga lakini ukiendelea kusoma na kumsemesha anazidisha vijembe. lakini wanawake wengine bana sasa mnagombana na mwenzako unaweka vijembe ili iweje kwamba ndio mtakuwa mmesuluhisha matatizo.
 
pole kama umeshamweleza aelewe mwache aendelee na vijembe vyake we kuwa kama husomi tena mwisho atajiona mjinga lakini ukiendelea kusoma na kumsemesha anazidisha vijembe. lakini wanawake wengine bana sasa mnagombana na mwenzako unaweka vijembe ili iweje kwamba ndio mtakuwa mmesuluhisha matatizo.

Kuna maneno yao wenyewe wanasema, kumchamba sijui...
 
Wazee kwa vijana
wadada kwa wamama.
Jina la bwana lihimidiwe!

Kwa muda mrefu sana hili jambo huwa linatokea baadae linapotea kisha linajirudia tena!

Huyu wife wangu amekuwa akirusha vijembe sana huku whatsap status! Kwa uchunguzi nimegundua kila ikitokea tumepishana kidogo kauli haipiti dakika unakuta ameweka status whatsup:

Mara "USIZARAU DAFU EMBE TUNDA LA MSIMU", siku yingine utakuta "KIKIWA NDANI CHAKO KIKITOKA SIO CHAKO"

LIMEKUSHINDA LIMAO UNAFATA NDIMU"
"WE NI KONOKONO KAMA KONOKONO WENGINE"
"UKITAKA HALUA KUNDU PANUA"

Hizo baadhi ya vijembe ambavyo moja kwa moja najua vinanihusu mimi ni zaidi ya hapo nishamkanya kama anaona tofauti yoyote anieleze kuliko kuanika huko ili kila mtu ajue tumekosana lakini hasikii!

Nikaanza kufikiria niwe namjibu lakini haitakuwa fresh kidume kurushiana maneno mitandaoni. Yaani hata akinipigia simu bahati mbaya sijapokea nikija kuingia tu whatsapp nakuta "MBUZI KUWA NA NDEVU SIO NDIO UANAUME" au "MWANAUME BUKTA".

Kiukweli huwa inanikosesha amani maana kila nikimweleza polepole hanielewi hembu nisaidieni mawazo nifanyaje!
UKITAKA HALUA KUNDU PANUA"
 
Mke au demu tu???
Mkeo kuandika mambo ya kipumbavu kama hayo kwenye mitandao kama vile ulimtoa SEWA na unamwangalia tu...!!!!na hata kama hakuandikii wewe hivyo vijembe we unadhani imekaa powa kwa mtu anayeitwa mke kuandika hizo vitu kwenye mitandao???kama ni kweli ni mke rudisha ulipomtoa kama ni demu tu unasumbua tu wadau bure
 
Back
Top Bottom