neyfento
Senior Member
- Mar 24, 2020
- 130
- 311
Unaandika vibaya hadi kero, kiswahili gani hiki ndugu, hata ningekuwa mimi sikupi uchi
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
npemoyanamnifulahmaishayaduniaNna wakewawili
Tunaruka nae hivo hivo😀😀
Usijali masikani yangu kitambo hapo King palace .Kaka karibu sana na zimefika
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daah huyu jamaa banaShuleni wakati wenzako wanajifunza kusoma na kuandika, wewe ulikua unasugua vimbegu vya ubuyu ktk sakafu halafu unawachoma wenzako
Hebu acha ujinga.Mfinye na weye!Abali.
Samanini kwakuwasumbu tena.ndoa yagu inamigogolo kwa wikimbiri sasa.muke wagu mdogo amekuwa akinipatendola doakwa masimago.
Nawomba nisemeukweri tu kwani namini kunawakubwa wezagu umu.
Amekuwa akinikatiya kihuno ka ma ugovi,wakati tukila cha kulacha falaga.
Kwamufano jana usiku halinifinya sana.ni uyu mukemdogo ni mufumbufu mno.
Kuna muda namkukumbuka mamayagu halivoniusia nasikitikaa sana.
Najuwa kuba wakubwa umu.
Mateso mkemudogo ananiletea nimakuba na sinapa kusemeya.
Nimwanagu tu na mugu ambaliki kwa kunifudisha kutumi jami flamuu.
Tuta kua pamoja .
Asateni
Hana lolote.Anatutapeli kwa kufanya komedi.Yupo vizuri.Hii thd ulikua una type kwa kutumia vidole vya Mguu?
Kheeeeeh me hata sijaelewaAbali.
Samanini kwakuwasumbu tena.ndoa yagu inamigogolo kwa wikimbiri sasa.muke wagu mdogo amekuwa akinipatendola doakwa masimago.
Nawomba nisemeukweri tu kwani namini kunawakubwa wezagu umu.
Amekuwa akinikatiya kihuno ka ma ugovi,wakati tukila cha kulacha falaga.
Kwamufano jana usiku halinifinya sana.ni uyu mukemdogo ni mufumbufu mno.
Kuna muda namkukumbuka mamayagu halivoniusia nasikitikaa sana.
Najuwa kuba wakubwa umu.
Mateso mkemudogo ananiletea nimakuba na sinapa kusemeya.
Nimwanagu tu na mugu ambaliki kwa kunifudisha kutumi jami flamuu.
Tuta kua pamoja .
Asateni
Pole mkuu ila kula hivyo hivyo tuHabari.
Samanini kwa kuwasumbu tena, ndoa yagu inamigogolo kwa wiki mbili sasa mke wagu mdogo amekuwa akinipa tendo la Ndoa kwa masimango.
Nawomba niseme ukweli tu kwani naamini kuna wakubwa wezagu humu. Amekuwa akinikatia kiuno ka ma ugomvi, wakati tukila chakula cha falaga.
Kwa mfano jana usiku alinifinya sana ni uyu mke mdogo ni musumbufu mno. Kuna muda namkukumbuka mamayagu alivoniusia nasikitikaa sana. Najua kuna wakubwa humu. Mateso mke mdogo ananiletea ni makubwa na sina pa kusemea.
Ni mwanangu tu na Mungu ambariki kwa kunifundisha kutumia Jamii Foroms.
Tutakua pamoja.
Asanteni