Na wewe onyesha mabadiliko ,akikuletea dharau usionyeshe reaction yeyote ,usiumie Wala usikarike...ukifanya hivyo itakuwa kama unamfundisha siraha ya kukujeruhi
Hapo mwisho umetaja ukweli wenyewe. Huyo si wa kujenga familia. Yupo kwako kimaslahi na ndio maana anakwambia hana haraka ya kuzaa. Hataki kujifunga na wewe kwa mtoto sababu hana ndoto za kuzeeka na wewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.