Mke wangu anam-post Bosi wake WhatsApp Status

Mke wangu anam-post Bosi wake WhatsApp Status

Kitanzi sh ngapi??
 

Attachments

  • GmF-EoUW8AA4OUb.jpeg
    GmF-EoUW8AA4OUb.jpeg
    19.9 KB · Views: 9
Kwa Siku tatu mfululuzo nimekua katika taharuki kubwa , kutokana na kitendo cha mke wangu kumuwekea bosi wake wasapu sitatasi na kapusheni nyingi za kunizodoa na kunidhalilisha..

Leo asubuhi amempost bosi wake ndugu Abudala na kuandika "mtu mwenye moyo wake mjini , sio Hawa wakwetu wanaume videvu, wavaa shati za vitenge na suruali za ulimbo".

Ukweli nahisi kudhalilika kupitia wasapu sitatasi zake, hasa ukizingatia huyo bosi wake ni juzi alinipa laki moja na kuomba mke wangu ahamia kazini kwake namimi nikakubali.

Nalia kwa uchungu ndugu zangu!!!!
Kwa hiyo ukaona umpatie kabisa boss mkeo
 
Kwa Siku tatu mfululuzo nimekua katika taharuki kubwa , kutokana na kitendo cha mke wangu kumuwekea bosi wake wasapu sitatasi na kapusheni nyingi za kunizodoa na kunidhalilisha..

Leo asubuhi amempost bosi wake ndugu Abudala na kuandika "mtu mwenye moyo wake mjini , sio Hawa wakwetu wanaume videvu, wavaa shati za vitenge na suruali za ulimbo".

Ukweli nahisi kudhalilika kupitia wasapu sitatasi zake, hasa ukizingatia huyo bosi wake ni juzi alinipa laki moja na kuomba mke wangu ahamia kazini kwake namimi nikakubali.

Nalia kwa uchungu ndugu zangu!!!!
Umemuuza mkeo kwa shingi laki moja tu.
 
Kwa Siku tatu mfululuzo nimekua katika taharuki kubwa , kutokana na kitendo cha mke wangu kumuwekea bosi wake wasapu sitatasi na kapusheni nyingi za kunizodoa na kunidhalilisha..

Leo asubuhi amempost bosi wake ndugu Abudala na kuandika "mtu mwenye moyo wake mjini , sio Hawa wakwetu wanaume videvu, wavaa shati za vitenge na suruali za ulimbo".

Ukweli nahisi kudhalilika kupitia wasapu sitatasi zake, hasa ukizingatia huyo bosi wake ni juzi alinipa laki moja na kuomba mke wangu ahamia kazini kwake namimi nikakubali.

Nalia kwa uchungu ndugu zangu!!!!

Mbona hii kama hadidithi ya hapo zamani za kale?
Tunasubiri sehemu ya pili ya hadithi yako.....
 
Kwa nini na wewe usitafute malaya uipost na caption ya "kwa raha nazo Pata najuta kuwa na yule jibwa koko bin utelezi"
 
Pole sana mkuu,
Hapo kuna mawili.
  • mwanamke wako amekuchoka na anakuzidi uchumi, anamtumia boss wake ili umuache huru.
  • au wanaku cheat, mwanamke wako kashawishika na viofa vya boss wake vya mda mfupi.

Mwite ukae nae muyazungumze kama asipo elewa usimng'ang'anie mwisho asije akakutoa uhai ili afaidi karanga za kuonjeshwa.

AKIONDOKA ONGEZA BIDII KUSAKA PESA POPOTE PALE.

Mungu awe pamoja nawe.
 
Kwa Siku tatu mfululuzo nimekua katika taharuki kubwa , kutokana na kitendo cha mke wangu kumuwekea bosi wake wasapu sitatasi na kapusheni nyingi za kunizodoa na kunidhalilisha..

Leo asubuhi amempost bosi wake ndugu Abudala na kuandika "mtu mwenye moyo wake mjini , sio Hawa wakwetu wanaume videvu, wavaa shati za vitenge na suruali za ulimbo".

Ukweli nahisi kudhalilika kupitia wasapu sitatasi zake, hasa ukizingatia huyo bosi wake ni juzi alinipa laki moja na kuomba mke wangu ahamia kazini kwake namimi nikakubali.

Nalia kwa uchungu ndugu zangu!!!!
Sijaelewa...
Unaomba ushauri upi katika hili? 🤔
 
Back
Top Bottom