MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,448
Habari zenu,
Mke wangu aliponiletea mtoto jana, alifanya fujo pia so nikamtuliza na Tsh 45,000. Jioni akanipigia simu kuwa ataendelea kuja kazini ili aniharibie kibarua.
Nishauri cha kufanya.
Fujo ni kosa kisheria, mpeleke mahakamani kama unadhani unayo haki