Mke wangu anajiuza?

BABA TUPAC

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2015
Posts
1,533
Reaction score
3,837
Wakuu,

Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi

Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes

Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini



Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukigundua anauza dai risiti
 
Kitendo cha kumuuliza na yeye kutojibu,wanasaikolojia wanakwambia swali ulilohoji ndilo jibu sahihi!
 
Nikusaidie kidogo;
Anachokiuza, alimaanisha kwamba; Alipwe 20K kabla ya kuhudumiwa. Sio kwamba bei ya kuingiliwa kwa mbele ndo 20K na nyuma ni bei nyingine. Nadhani ndo hivyo.
Pili;
Hata ka anauza hiyo K, nadhani huyu mkeo ni mbunifu sana. Ameona akusaidie kiuchumi. Sasa kama unakuja home unakuta wali mchuzi rojo na kahawa pembeni halafu asubuhi unapata chai nzito kwa chapati 2 mbona huulizi kapata wapi matumizizi makubwa kihivyo?? Kula tu usiulizeulize.
Kwetu kuna kamsemo; Ukimchunguza bata humli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…