Mke wangu anaenda Ughaibuni for good

Mke wangu anaenda Ughaibuni for good

embojo

Senior Member
Joined
Mar 12, 2014
Posts
175
Reaction score
41
Hi wadau,
Mi ni mgeni Hapa JF ila napenda kushare Jambo linaloninyima usingizi.

Mke wangu anataraji kusafiri kwenda ughaibuni ifikapo mwezi wa nane,nimezaa nae mtoto mmoja na naishi nae katika mji mkoa mmoja Hapa Tz.

Safari yake hii imegubikwa na utata kutokana na kwamba mlezi wake amemwita na hajui atachukua muda gani huko ughaibuni,Maisha yetu hapa bongo si mazuri sana,na yeye anashawishika kumwacha mtoto kwa mzazi wake na kwenda ughaibuni.

Sasa inaniwia ugumu kumuachia aende.

Hebu put yourself in my shoes ingekuwa wewe ungelifanya nini,ukizingatia invitation imeshafika na process za visa na tiketi zinaendelea, naomba ushauri on a serious note kwa wadau.

Depressed hubby


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Piga moyo konde muache aende japo unapaswa kumuweka chini na kumsihi sana juu ya kuheshimu mahusiano yenu na kuyatunza,lakini pia akili aliyonayo ni wewe mwenyewe ndo unaijua,kama si mtu mwenye hofu ya MUNGU na anapenda kuishi maisha kama ya dada zetu wa siku hizi hapo kaka mziki unao,tafakari kwa kina!
 
Kama ni mke, muache atangulie ili baadaye nawe umfuate. Mbona ingekuwa ni wewe si ungemwambia unaenda tafuta maisha?

Dont be too negative, watu huachana everyday na haiihitaji kwenda ulaya ndio waachane. Na kuna watu hata gereza haliwaachanishi.
 
Dah aisee kama anakupenda vzr kbs usijali, ila si salama sana unless atakua anafanya kazi (not shame jobs). Ila kama ni kutafuta senti fanya fasta umfate, kuna mijama ya west Afrika inapenda sana dada zetu yaani na huu upweke na life style la majuu bila company ngumu sana.


Life is soo stressful bila kuwa na company ndio mana mambo ya bf n gf wamewaacha watoto wanaendelea tu as long as wako above 16
 
Kama ni mkeo utasemaje hujui anaenda kufanya nn?je doc au invitation letter inayomruhusu kuomba viza inasemaje?
 
Shame jobs kivipi? Kama mtu shughuli zako zinakuingizia rizq halali na unajitegemea na hicho chochote ukipatacho (hata kiwe kidogo namna gani) na huombi mboga wala chumvi kwa mtu, shame itoke wapi?

Mkuu nilikuwa nauliza tu, baada ya kampuni kubwa za Ford, Toyota na Holden kutangaza kuhama barani Australia na kukatisha ajira zaid ya 4000, waziri wao mmoja alisikika akisema 'do you expect Australian to crave for shame jobs' meaning kazi zisizo professional (kuuza McD, KFC, s/mkt)
 
Mbona sioni kama anakwenda kimoja. Kama amepewa invitation mwache aende atarudi tu kwani ingekua anaenda mtwara mbona usingehofu so ondoa hofu ughaibuni kusikutishe ni kwa kawaida tu atarudi piga moyo konde. Kama ingekua wewe mbona ungeenda kwa raha zako mwache mdada akasafishe macho na awe likizo kidogo.
 
Mkuu nilikuwa nauliza tu, baada ya kampuni kubwa za Ford, Toyota na Holden kutangaza kuhama barani Australia na kukatisha ajira zaid ya 4000, waziri wao mmoja alisikika akisema 'do you expect Australian to crave for shame jobs' meaning kazi zisizo professional (kuuza McD, KFC, s/mkt)

Ni ujinga kudhani kuwa ajira za sekta ya huduma ni ajira za aibu.

Mtu unaenda kwenye hizo sehemu, unahudumiwa vizuri kumbe deep down unawadharau hao wanaozifanya hizo kazi na ambao ndo wanakuhudumia wewe.

Hiyo ni akili kweli? SMFH!!!!
 
Mkuu nilikuwa nauliza tu, baada ya kampuni kubwa za Ford, Toyota na Holden kutangaza kuhama barani Australia na kukatisha ajira zaid ya 4000, waziri wao mmoja alisikika akisema 'do you expect Australian to crave for shame jobs' meaning kazi zisizo professional (kuuza McD, KFC, s/mkt)


Naamini shame jobs zimejaa Africa na hazieleweki utakuta wauza kanda za kwaya, wafagia barabara, wachimba vyoo, wapiga debe, madalali wa nyumba za kupanga, pia kazini madeal madeal tu ndo maana nchi za Afrika haziendelei madea mpaka ikulu
 
Ni ujinga kudhani kuwa ajira za sekta ya huduma ni ajira za aibu.

Mtu unaenda kwenye hizo sehemu, unahudumiwa vizuri kumbe deep down unawadharau hao wanaozifanya hizo kazi na ambao ndo wanakuhudumia wewe.

Hiyo ni akili kweli? SMFH!!!!
Tatizo letu wabongo tunadharau sana utafikiri hapa bongo wote ni maofisa ndio maana wanadharau hata manesi wetu hapa bongo. Kipi bora kutapeli watu au kufanya kazi halali
 
Piga moyo konde muache aende japo unapaswa kumuweka chini na kumsihi sana juu ya kuheshimu mahusiano yenu na kuyatunza,lakini pia akili aliyonayo ni wewe mwenyewe ndo unaijua,kama si mtu mwenye hofu ya MUNGU na anapenda kuishi maisha kama ya dada zetu wa siku hizi hapo kaka mziki unao,tafakari kwa kina!

Ana hofu ya Mungu ila mlezi wake ughaibuni amekuwa sio msaada kwake kwa mda mrefu Kama Miaka 6 nliyoishi nae,sasa ghafla anataka kumchukua na yeye aende huko bado hajamwambia atakachokwenda fanya huko


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu nilikuwa nauliza tu, baada ya kampuni kubwa za Ford, Toyota na Holden kutangaza kuhama barani Australia na kukatisha ajira zaid ya 4000, waziri wao mmoja alisikika akisema 'do you expect Australian to crave for shame jobs' meaning kazi zisizo professional (kuuza McD, KFC, s/mkt)


Ninamaanisha kazi ambazo haziwezi kuwa monitored watu wakalipa kodi kuongezea taifa kipato na manyanyaso mengi mfano house girl, shamba boy nk
 
Back
Top Bottom