Mke wangu ana VVU

sijaelewa umepima na umegundulika huna virusi au tayari umeambukizwa?
 
Hapo ndipo kile kiapo cha
"Kwa shida na raha" kinapoonekana....

Haswaaaaa..... Hapa ndio tuelewe sasa maana ya kile kiapo... "Kwa shida na raha" Dahhhh.... Mungu amuwezeshe.... Kwa akili ya kibinadamu pekee ni ngumu...
 
"kwenye shida na raha"
Ukasema ndio, sasa ulijua shida ni zipi?
 
Una bahati sana kaka, miaka yote hii hujaukwaa? Kama member mmoja kauliza hapo juu, hamjazaa? Je kama mmezaa mtoto mzima?
Case kama hizo zipo nyingi sana! Na wenye bahati hiyo wengi ni wenye group la damu O negative. Kamwe hawezi pata kama ameishi naye kw muda wote huo na hakuna kinga iliyotumika!! Ushahidi huo mimi ninao kuna ndugu yangu wanaishi na mkewe mwaka wa 15!!sasa wakati mrs. Ni muathirika yeye hana. Ni wenye bahati zao
 
hi naijua hii uyo jamaa alimaliza digrii ya uhasibu TIA...
 
mkuu pole sana.. ila hakutaka kukuambukiza sababu anakupenda.. angetaka angeweza kumbuka hilo..!!!
thamini mapenzi na heshima ya mke.. usimfukuze ila daah sijui hata nikushauri nini..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…