Pole sana Ndugu,nakumbuka story ya mtu mmoja ivo ivo Njia panda Clous radio Ilikuwa january siku ya j2..sikimbuki tarehe2015..kuna mtu alishudia kuwa mke wake aligundulika kuwa na VVU na mume hana.
Lakini mke wake alijua sana ni +ve akijua ili hali hakumjulisha mumewe..na siku ya kupima alijua kabisa majibu yake yatakuwaje bt hakuwa amemuambia mumewe akihofia mumewe angemuacha... ilikuwa story ndefu sana ya kusisimua.
Nakumbuka watu wengi pia walituma sms kushuhudia ndugu zao na rafik zao wa karibu ambao wana hali kama uliosema...Hizo ni hali za na zipo na siyo wa kwanza wewe...Cha msingi hapo ni imani ya kimungu zaid inatakiwa na siyo za kibinadamu...mungu akufanyie wepesi kwa kweli...!