Mke wangu ana hoja au ni uoga wake tu?

Mke wangu ana hoja au ni uoga wake tu?

Tafuta houseboy anayeeleweka otherwise utakuja kujuta
 
Kujifanyia kazi zako unaona ni jambo gumu???
Napata hasira... huna mikono au kujiendekeza?

Fanya hivi ..
Kula vibandani,
Usafi utafanya mara moja kwa wiki,
nguo utatafuta wale wafuaji wa kuwalipa wanakufulia kila wiki.
Na mjitahidi kutembeleana kila mwezi...


Ndivyo tunavyoishi....
 
Du yaani Mkuu ni wa ajabu kweli mke wako, kazi yako na kupanga ni wewe harafu tukujibu ss
 
Kujifanyia kazi zako unaona ni jambo gumu???
Napata hasira... huna mikono au kujiendekeza?

Fanya hivi ..
Kula vibandani,
Usafi utafanya mara moja kwa wiki,
nguo utatafuta wale wafuaji wa kuwalipa wanakufulia kila wiki.
Na mjitahidi kutembeleana kila mwezi...


Ndivyo tunavyoishi....

Nimekusoma mkuu.
 
Aisifiae mvua imemnyea. Labda na yeye alikupata kwa njia hizo hizo, kwa hiyo anawasi wasi, unaweza ukapatwa na mwingine kwa njia hizo hizo. Mueleweshe aondoe wasi wasi, kupatwa au kutokupatwa ni maamuzi ya muhusika mwenyewe.
 
Unahofiwa wewe tu, hiyo miezi kumi utakayo mwacha mkeo Dar unahakika gani yeye hatakusaliti? Mtu alishazoea kutupiwa mkia muda atakao then leo hii mkia huo Arusha.

Kama unamuamini au vice versa...basi hayo ndo maisha yenu wote anzieni hapo kujitathimini.
 
msichana wa kaz wa nini na wewe si umsikilize mkeo
 
Mkeo Ana hofu ya kweli. Arusha!, Si unapita karibia Na Rombo kwanza!.
 
Mi sioni tatizo kwa mtu anayejiheshimu....si anakuja na kuondoka, hata kama angrkuwa ana lala kila mtu na chumba chake
 
Back
Top Bottom