Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 22,372
- 28,042
Kosa kubwa kuingilia majukumu ya wazazi wake. Mwanamke asomeshwi.
...............dhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaNi shidhaaaaaaa...... Wake za watu wanajiachia utafikiri hawajaolewa.
Kama umeamua kumsamehe mmsamehe tu, but kama moyo unauma chepuka na wewe au mwambie aende kwao kwanza hadi roho iache kuuma.
Lastly piga chini. Kumbuka kuwa huyo jamaa alokuwa anatembea naye hawawezo kuachana hadi uchaguzi 2025.
.....mweeeeeeeeeeeeeLife is full of strange........do not believe anyone........................................lyf style chuo huijui? Wake za watu wanajiachia utafikiri hawajaolewa.
Kama umeamua kumsamehe mmsamehe tu, but kama moyo unauma chepuka na wewe au mwambie aende kwao kwanza hadi roho iache kuuma.
Lastly piga chini. Kumbuka kuwa huyo jamaa alokuwa anatembea naye hawawezo kuachana hadi uchaguzi 2025.
"Nachoka sana kila nikisikia hizi habari dhaaaaaa hii sasa ishakuwa tabu kiasi kwamba unaweza fikilia kuuwa mtu..........
Shenzy type yaani mimi wakati anamaliza kusema hiyo nilichepuka atajikuta virago vyake vipo nje vinagaragara...vijana tunaoowa miaka hii tuwe makini ndugu'zanguni wanawake(sio wote)wengi wamekuwa na tamaa za kijinga we mtu umeacha mme nyumbani unaenda mvulia mwingine ch*pi hata hujiulizi,imefikia mpaka kuleta magonjwa nyumbani kwa mmeo inaonyesha ni jinsi gani alivyo hopeless hata msimamo kwamba mchepuko uvae condom hana!!!!!shit me nitaondoka na shingo yaani nimetulia mwanamke aniletee dharau ndani,labda aongee lugha ya malaika ndo nitamwelewa.
Hii story hata kama ni ya kutunga ina fundisho ndani yake.Ukipata tatizo kama hili dawa yake ni hii.Muite mkeo tena mweleze unavyompenda na kumuamini na jinsi ulivyoumia kwa alichokifanya alafu mwambie umemsamehe,samehe kutoka moyoni kabisa then usimuulize tena kuhusu hilo jambo Mungu atampa majuto ndani ya nafsi yake.
Kuhusu kazi akipata mbali usikubali aende fuatilia uhamisho huyo mkeo hawezi kujiongoza mwenyewe akiwa mbali na wewe,au fungua mradi unaoendana na fani yake,akienda mbali atachepuka tena coz hadi mwanamke achepuke lazima atakuwa hajielewi na hapo amekudanganya. tofauti.(mtu hawezi kukiri ukweli kwa idadi ya chepuko yaani alifanya mara ngapi au na watu wangapi)Inauma lakini samehe utaona matunda yake.