AsanteKosea mengine yote, omba sana usikosee kuoa!!
Ulikuwa na nia njema but ye mwenyewe kajiharibia!! Alifuata mkumbo wa kampani za vyuoni, kama utataka aendelee kujiendeleza mpeleke katika vyuo vinavyotoa elimu kwa njia ambayo itamfanya awe nyumbani!! Mfano distance learning au evening, msamehe then mfuatilie kwa ukaribu!! Pengine kampani za chuo zilimpeleka vibaya
Kosa si kutenda kosa bali kurudia kosa!!
Huyo bado anakula ujana kaolewa bado mdogo sana na hawezi kuacha kuchepuka. Na aliolewa na we we baada ya kuwa hana options. Hakupendi huyo anakutumia tu na lazma aje akuache.
Pole sana the more anavosoma ndo mapenzi yatakavozidi kuisha.