Fazzah5x
Senior Member
- Aug 10, 2022
- 197
- 287
Habari za mida hii wakuu natumai mko salama
Leo Ni siku ambayo siko siko sawa psychologically😔
Ndio Mara yangu ya kwanza kuingia katika maswala ya uzazi yaani kupata mtoto
Ya Mungu mengi kwa Hali isiyotegemewa mchana wa leo mwali wangu aliniita home akidai anasikia maumivu makali KIUNONI ya kubana Sana Kisha na kuachia Mimi mwenyewe bado mgeni nikawa sijaelewa vizuri bado ikabidi nimchek sister akaja ndio akamuita mama pia wakaniomba kiasi kadhaa wamuwahishe kituo Cha afya
Alipelekwa na ilipofika mida ya jioni nikaenda kucheki kinachoendelea naambiwa kajifungua mtoto NJITI (miezi7)
Imenishtua kiasi ukiunganisha na ugeni was Mambo ya uzazi
Hivi navoongea nimeshakomba kipa Senti iliyokuepo na kuuza simu kubwa niliyokua natumia means hapa nimeingia kwa mtu
Na mpaka Sasa tumepeleka hospitali ya rufaa kwa maelekezo but hapa nimekwama kabisa ndugu zanguni😔
Kuna pesa zinahitajika mno
Nimevunjika moyo
Leo Ni siku ambayo siko siko sawa psychologically😔
Ndio Mara yangu ya kwanza kuingia katika maswala ya uzazi yaani kupata mtoto
Ya Mungu mengi kwa Hali isiyotegemewa mchana wa leo mwali wangu aliniita home akidai anasikia maumivu makali KIUNONI ya kubana Sana Kisha na kuachia Mimi mwenyewe bado mgeni nikawa sijaelewa vizuri bado ikabidi nimchek sister akaja ndio akamuita mama pia wakaniomba kiasi kadhaa wamuwahishe kituo Cha afya
Alipelekwa na ilipofika mida ya jioni nikaenda kucheki kinachoendelea naambiwa kajifungua mtoto NJITI (miezi7)
Imenishtua kiasi ukiunganisha na ugeni was Mambo ya uzazi
Hivi navoongea nimeshakomba kipa Senti iliyokuepo na kuuza simu kubwa niliyokua natumia means hapa nimeingia kwa mtu
Na mpaka Sasa tumepeleka hospitali ya rufaa kwa maelekezo but hapa nimekwama kabisa ndugu zanguni😔
Kuna pesa zinahitajika mno
Nimevunjika moyo