Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,190
- 5,045
Mke wangu nimeishi naye wastani wa miaka 4 sasa alikuwa mnyenyekevu, mpole, si muongeaji sana hata akiwa na wenzie, heshima kwangu ni miongon mwa vitu nilijivunia kuishi naye, kuniskiliza na hakuwa mtu wa kujibizana na mimi.
Sasa ameanza kunijbu majibu ya mkato na wakati mwingine naweza mkemea jambo fulani akatoka nje huku anabamiza milango kavuta mdomo sjawahi kumpiga maana siamini katika kupiga mwanamke, nimejikuta natafakari mambo mengi sana maana nilimpa mtaji wa biashara pengine huko kwenye biashara yake amekutana na watu wamempa kiburi na kumfundisha tabia ngeni kwangu ukizingatia hata sex yenyewe siku hizi ni kama anakwepa tofauti na kipindi cha nyuma alikuwa anapenda sana hilo tendo au vihela anavyopata vinampa kiburi sielewi.
Juzi niliamua kwamba asifanye jambo lolote linalonihusu yaani asifue nguo zangu nitafua mwenyewe, asinipikie nikitoka kazini napika mwenyewe, sihitaji k yake tena na wala staki story nae. Kabaki amenuna tu na mi sina habari.
JE WAKUU NIMEAMUA VEMA AU NIFANYE NINI?
---------
Wakuu kheri ya 9D kwa wapigania haki wote wa TANGANYIKA.
Sasa ameanza kunijbu majibu ya mkato na wakati mwingine naweza mkemea jambo fulani akatoka nje huku anabamiza milango kavuta mdomo sjawahi kumpiga maana siamini katika kupiga mwanamke, nimejikuta natafakari mambo mengi sana maana nilimpa mtaji wa biashara pengine huko kwenye biashara yake amekutana na watu wamempa kiburi na kumfundisha tabia ngeni kwangu ukizingatia hata sex yenyewe siku hizi ni kama anakwepa tofauti na kipindi cha nyuma alikuwa anapenda sana hilo tendo au vihela anavyopata vinampa kiburi sielewi.
Juzi niliamua kwamba asifanye jambo lolote linalonihusu yaani asifue nguo zangu nitafua mwenyewe, asinipikie nikitoka kazini napika mwenyewe, sihitaji k yake tena na wala staki story nae. Kabaki amenuna tu na mi sina habari.
JE WAKUU NIMEAMUA VEMA AU NIFANYE NINI?
---------
Wakuu kheri ya 9D kwa wapigania haki wote wa TANGANYIKA.