Salama wakuu? Tumefunga ndoa takribani miaka 9 iliyopita, mara ghafla mvua ikaanza kunyesha kugeuka nyuma kimbembe si ndio nikajua naharibu! Ile kushangaa polisi nao hao wanakula maembe ebanaee jirani naskia kapanda mwendokasi! Basi bwana ujue nini? Msimu wenyewe haukuwa mzuri kwani unauzaje? Mayowe yakasikika hebu funga halafu au nipe mbili mpigie simu we nenda tu mpe hi. Matikiti mumunya kama pipi meza panadol funga jicho kidogo sana uuuuuwiii teh kwani kasemaje?
Nb:utarudia kusoma hata mara mia, wakati mwingine sio lazima uelewe kila kitu.
Nb:utarudia kusoma hata mara mia, wakati mwingine sio lazima uelewe kila kitu.