Mke wangu alinifanya niwe Mchawi -1

Hii ni story nzuri sana ,niliacha kusoma hadithi kama hizi zamani sana baada ya kugundua kuwa Shigongo anacopy na kupest kutoka mahali fulani tena kwa dhuluma ,ila hii imenifurahisa na sasa naamua kurudi kwenye hadithi kama zamani
 
funzo kwa wanaoendekeza kwenda kwa sangoma biblia inasema amelaaniwa yule amtegemeaye mwanadamu amfanyae mwanadamu kuwa kinga yake moyoni mwake amemuacha Mungu.
 
Hongera Mkuu MziziMkavu, nimefuatilia hadithi hii tokea mwanzo. Hakika ina mafunzo mengi kwa sie wanaadamu. M/MUNGU ATUEPUSHIE MBALI NA UCHAWI.
 
Last edited by a moderator:
Du! Mzizikavu tunashukuru kwa somo zuri sana
nimejiiifunza vtu vingi mno kutokana na Uzuzu wa Kazala
hapa naomba niseme kidogo na watu wengine wajifunze kuwa; Ukiamian/kuabudu kitu kinachooneka na kushikika mf. Fedha,sanamu,hirizi, mapete,mabangili ya kichawi na kiganga wewe huwez kukwepa mitego ya shetan hata siku moja. Mf juu ya Mf: wewe ukiamin fedha wewe ndio wewe na unaweza kuhamisha milima, kuwapora wanyonge ardh yao si hauamin Mungu huruma inatoka wapi? Sasa akitokea mwenye hela zaidi yako si na wewe utakuwa mnyonge wake?
Na pia ukiamini huo Uchawi ambao ni = uchawi akipatikana mwenye kukuzid si unaondoka kwenye uso wa dunia? Mf wa
Kazala alizidiwa na wengine na baba na mwanae wakalamba mchanga!
Sasa si ni bora hata kazala alipofikia kaambiwa ukweli swali ni Je! Bi nyanguda
angekutwa au mzee wa tewe angekuwepo unafikir stori ingeishia hapa?
Ndg zangu wapendwa tumwamin Mungu asiyeoonekana wala kushikika lkn yupo
ukimuamin,kumtumikia na kumuabudu yeye nan aliye mkuu kuliko na hata kumzidi yeye??
Yaan nimeifungia kaz hii thread tokea juzi
nilisusa kuingia kwenye topc zingne mapaka kieleweke!!
Mungu awabariki wale woote mlijifunza na kukop mema!!!
 
wa kweli nimesoma hadi kichwa kinakuwa kizito.

Jamani, tukiwa na hofu ya Mungu haya yote hayatatupata, kutakuwa hakuna kuibiana mke wala mume, na mwisho wa yote hakuna kisasi. Tukimuamini Mungu, tutaishi kwa amani na upendo siku zote.

Ahsante MziziMkavu, hope tumejifunza Mungu ndiye muweza wa yote na si mwanadamu
 
“Tanga katika wilaya ya Lushoto kijiji cha Mlalo kisha unaingia ndani zaidi kuna sehemu inaitwa Tewe"

umenikumbusha mbali sna mzizimkavu kwani hilo eneo nalifahamu na nilikwisha kaa hapo kwa muda haaaaaaaaaaa.... endelea kumwaga utamu.
 
Back
Top Bottom