how are you..
Tatizo halipo kwenye idadi ya wanawake, tatizo lipo kwenye chaguo la wanawake! kuhusu vidumu ni tabia ya mwanamke tu, kuna kesi nyingi tu za wanawake kuwa na vidumu licha ya kuwa ni wake pekee katika ndoa! Wanawake wa kweli ni wale wanaowavumilia waume zao na kuweza kuyazuia matamanio yao hata ikiwa mwanaume ana matatizo, au kasafiri n.k. Na hili la mwisho linawahusu wanaume pia!utajaza hata kumi,wanawake ni wale wale...utafiti usio rasmi hao wa nyumba ndogo huwa wana vidumu vyao vya kumalizia pale ulipoachia....weweunajitamba kijogoo kumbe kuna vijogoo haswaa vinavyotafuna wakezo....
mnh miakaya karibuni sijui kwa nini lawama zimeongezeka kwa wababa kuwa hawapati ushirikiano chumbani ni early menopause au ni nini?ina maana nyumba ndogi hakuna hili tatizo au WANAFAKE???? jamani ladies hatakm humpendi tena mumeo just FAKE IT..........for the sake of your children kulea baba na mama wameachana ni ngumu
usinimabie..........Alfred kafiwa na mkewe............uuuwi lini!?!?!?!
ngoja nimpigie nimpe pole!!!
i am very fine, missing you kinoma! and how are you?
mmmmmh
ngoja uone wadada
watakavyokuparua humu.
Ndefu bwana kupita ya Mtambuzi...nitarudi baadae
Owwwkey.
Mke mdogo lazima alizingua baada ya kujua kwamba alipatikana kwa jeuri ya mke mkubwa. Baba akaamua kuonyeshea kwa kumletea na yeye mdogo wake.
Mentor huyo mzee alikuwa anazungumza mambo ya ndani kabisa ya familia yake mwenyewe mbele za watu tena kwenye msiba? Ulijifunza nini kupitia maelezo yake huyo mzee?
Dawa ya mwanamke mwanamke mwenzie,
hiyo ndio maana yake haswaa, mkileta jeuri tunavuta wa pili, wa pili naye jeuri tunavuta wa tatu mpaka mkome, chezea vidume wewe. Hongera Mzee Chande
Mkuu Mentor umetisha, tafadhali malizia hako kastori kana uhondo balaa
Mentor, mzee wa mila nipo, usinisahau
Kwa wakati huu nikujitakia matatizo tu,,,mke mmoja ni bora zaidi,,,maana mke zaidi ya mmoja ndio chanzo cha ushirikina baina ya wake zako,,kugombania mali na mwishowe kutolewa roho...kuepuka yote hayo mke mmoja ni bora zaidi
Jestinaaaaa...be real! wake wengi raha bwana. A akiumwa waenda kwa B. B akiwa safarini unahamia kwa C. C aliwa analea unahamia kwa D. D naye akianza safari A anakuwa keshapona. Hapo kutoka nje ni NIL>utajaza hata kumi,wanawake ni wale wale...utafiti usio rasmi hao wa nyumba ndogo huwa wana vidumu vyao vya kumalizia pale ulipoachia....weweunajitamba kijogoo kumbe kuna vijogoo haswaa vinavyotafuna wakezo....
mnh miakaya karibuni sijui kwa nini lawama zimeongezeka kwa wababa kuwa hawapati ushirikiano chumbani ni early menopause au ni nini?ina maana nyumba ndogi hakuna hili tatizo au WANAFAKE???? jamani ladies hatakm humpendi tena mumeo just FAKE IT..........for the sake of your children kulea baba na mama wameachana ni ngumu
usinimabie..........Alfred kafiwa na mkewe............uuuwi lini!?!?!?!
ngoja nimpigie nimpe pole!!!
mmmh napita tu naona hapa mmeweka bao mnacheza na kupigishana story za hadithi hadithi.....:tape:
Dawa ya mwanamke mwanamke mwenzie,
Kastori katamu. Nimegundua wanawake wengi hupatwa na viburi na vitabia vya ajabu ajabu wakigundua wanapendwa; sasa inapotokea mume kaoa mke wa pili hujanjaruka na kurudisha mapenzi moto moto; ona kama huyu alivyoacha kuvaa kijinsi na kuvaa kanga moko! wazee wengi wa zamani walioa mke wa pili si kwa mapenzi bali ni kutokana na vitabia vibovu vya wake zao wakubwa ambao baada ya kupata mke mwenza hujirudi na kumuacha mzee njia panda. Kazi kwako Mentor
Na vitabia vibovu vya wanaume wanawake nao wafanyaje? au ndio watafute mpango wa kando ili kupunguza stress. sioni kama kuoa mke wa pili ndio suluhisho.