Ayusema
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 549
- 189
Alikuwa mpenzi wangu kabla ya kuposwa na kuolewa japo iliniuma sana nilisahau maisha yakaendelea.
Amejaaliwa kupata mtoto moja na maisha yanaendelea na mumewe.
sasa siku hizi ameanza kamchezo kakutuma text..mara "baby", eti amenimiss, anataka akumbushie kamchezo.
Mpaka sometime huwa nahisi ni tego...mie huwa simjibu kitu.
Ila siku zinavyoenda anazidisha text... au ndo wametega mtego?
ushauri wenu wana JF..
Amejaaliwa kupata mtoto moja na maisha yanaendelea na mumewe.
sasa siku hizi ameanza kamchezo kakutuma text..mara "baby", eti amenimiss, anataka akumbushie kamchezo.
Mpaka sometime huwa nahisi ni tego...mie huwa simjibu kitu.
Ila siku zinavyoenda anazidisha text... au ndo wametega mtego?
ushauri wenu wana JF..