SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Huyo mwanamke hakuwa mke wa mtu ila mwanamke anayeishi kwa kutumia bongo zake kali. Na yaelekea anamfahamu sana huyo mtongozaji ndo maana alimpima kwa kamilioni kamoja. Alijua hana ndo maana alitoa dau hilo akijua jamaa atakuwa na kigugumizi hapo.Kwa kifupi huyu mama alimfundisha kwamba asiwe na tabia ya kuparamia ovyo wanawake kwani wana gharama