Mimi niko nje ya nyumbani(TZ) niko ugenini, kazini kwangu kuna dada wa miaka kati ya 24-30 ni mfanyakazi mwenzangu na ni mke wa mfanyakazi mwenzetu, ananitaka kwa nguvu ametumia email ameona kimya sasahivi amehamia kunitafuta kwa simu mimi sipokei wala kujibu ujumbe , naombeni ushauri maana ni kero kwangu, je nimweleze mumewe?
nimeshamweleza sana kwa mdomo kwani sitaki ushahidi wowote wa ujumbe wala kumpigia simu lakini hanielewi
Hahahaaaa....kama kweli umemweleza lakini bado hakuelewi basi hukuwa serious katika maelezo yako.
Mpe anachokitaka... Kwa nini aumie kwa ajili yako? Hapa duniani tunapita tu bro!
nimeshamweleza sana kwa mdomo kwani sitaki ushahidi wowote wa ujumbe wala kumpigia simu lakini hanielewi