MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Inamcost mke wa mtu shs 80,000 kunifata na kwa kweli akifika ni full dose apae thamani ya pesa anayotumia!
Hahahaha Bishanga hapa unawezadraw rule nyingine kuwa............Wanawake wanaotoka nje ya ndoa zao, hawaruhusiwi kuomba pesa za kwenda kutumbua na small houses zao from their husbands (Kuepusha maswali ya ni pesa za kufanyia nini)sasa ndugu yangu hako ka 80 thou ndo dau lako ili utoe huduma,au?
Lol ...........The Devil's Advocate.............................. Bwana Bishanga imenibidi nirudi kidate kimegoma hahahah