UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Jamaa alikuwa na mke wa mtu guest house akila mzigo, sasa baada ya kumaliza akampigia simu dereva wa bodaboda wa siku zote aliyemzoea kuwa aje amfate mahala alipo ili ampeleke shemeji yake nyumbani (amuwahishe).Akidai ni mke wa mtu asije mme wake akarudi home asimkute, sasa jamaa kufika yani dereva bodaboda akampigia simu bosi wake kua amefika sehemu husika anamsubiri nje bosi yaani jamaa aliyemuita akamwambia amsubiri anakuja nae ili amlipe kabisa.
Kufika nje ya geti jamaa na mwanamke wakakuta kibajaji wakaingia, jamaa akasalimia akala mate akampa mwanamke burungutu jamaa akazima ukimya kua nampeleka wapi ghafla! Mwanamke akastuka kuangalia vizuri mume wake jamaa akamuuliza vipi unaenda home kwanza au unapitia sokoni?Kama ulivyosema mwanamke kimya jamaa yuko nakuuliza mbona kimya dereva bajaji ikabidi ageuke kuangalia nyuma anageuka anakuta mke wake.
Jamaa akauliza vipi mnajuana! Hapo ndipo timbwili likaanza jamaaa wa bajaji akanzisha kitim tim mwisho ikabidi aangue kilio huku akisema "kuhangaika kwangu huku mpaka naendesha bajaji nikutunze malipo ndio haya mke wangu dereva huyo akiuliza kwa jazba na uchungu wa kilio chenye kwikwi uku kamkunja mke wake.Bosi aliyemuita akabidi awe mpole kwa kuzuga hajui kama mke wa mtu na dereva wa bajaji akidai yeye hana ugomvi na jamaa ana ugonvi na mke wake aliyemvunjia heshima.
=>>Mazeee mke wa mtu sumu kueni makini na nyie wanawake rizikeni na vibamia kama sivyo kwanini mkubali kuolewa.
Kufika nje ya geti jamaa na mwanamke wakakuta kibajaji wakaingia, jamaa akasalimia akala mate akampa mwanamke burungutu jamaa akazima ukimya kua nampeleka wapi ghafla! Mwanamke akastuka kuangalia vizuri mume wake jamaa akamuuliza vipi unaenda home kwanza au unapitia sokoni?Kama ulivyosema mwanamke kimya jamaa yuko nakuuliza mbona kimya dereva bajaji ikabidi ageuke kuangalia nyuma anageuka anakuta mke wake.
Jamaa akauliza vipi mnajuana! Hapo ndipo timbwili likaanza jamaaa wa bajaji akanzisha kitim tim mwisho ikabidi aangue kilio huku akisema "kuhangaika kwangu huku mpaka naendesha bajaji nikutunze malipo ndio haya mke wangu dereva huyo akiuliza kwa jazba na uchungu wa kilio chenye kwikwi uku kamkunja mke wake.Bosi aliyemuita akabidi awe mpole kwa kuzuga hajui kama mke wa mtu na dereva wa bajaji akidai yeye hana ugomvi na jamaa ana ugonvi na mke wake aliyemvunjia heshima.
=>>Mazeee mke wa mtu sumu kueni makini na nyie wanawake rizikeni na vibamia kama sivyo kwanini mkubali kuolewa.