Mke wa mtu sumu yamemkuta

Mke wa mtu sumu yamemkuta

Bila kuweka picha ni uongo,
Mana otherwise hata mimi ningeweza kuanzisha thread kama hii
 
Mi kuna mshkaji wangu alihitaji kumrudisha kwao demu wake alfajiri na mapema akamuita dogo mmoja hivi dreva bodaboda aje ale kichwa.Yule dreva alifika na kukuta kichwa chenyewe ni mama yake mdogo ila akakausha tu akamchukua akampeleka.Mida ya mchana yule dogo ndo akampigia simu mshkaji wangu na kumlaumu mambo gani sasa unanifanyia kwani kulikuwa kuna haja gani ya kunionesha unatembea na mama yangu? Lakini yule mshkaji wangu aliyafanya yale kwa kutokujua akamplease yule dogo na dogo akawa muelewa,kwahiyo hii kitu inatokeaga kuhusu uandishi na nini mi naona mtoa mada hapa hayupo chumba cha mtihani ilimradi kaeleweka.
 
Back
Top Bottom