Mijini hali inazidi kuwa mbaya zaidi, wamama wengi hawana hata chembe ya uoga, anakupa makavu tuu kama vile si mwanandoa, mbaya zaidi wanaambizana~kuna kijana mmoja aliajiriwa kazini kwetu pale, ndani ya muda mfupi kawapitia kina dada/mama karibia wote (sababu ya msingi=ana dushe la kufa mtu) w.t.f.....!?, kapoteza kazi kizembe kbs