Mke wa mtu mtamu jamani, acheni tu...

Mke wa mtu mtamu jamani, acheni tu...

Duu wengine tunaogopa wake za watu,wewe unataka kuendelea kuwala... hakyanani utauawa au utadhalilishwa na uaibike vubaya sana.Kila la heri,sisi ngoja tuendelee kuwala ambao hawajaolewa,na ni wengi sana,sema ndo hivyo,kwenye dunia ya demokeasia kila mtu anataka afe nanini.
 
Technical caring acrobat deodorant
 
Una bahati umeacha,ukirudia kula tena vya watu jiandae kuilipa dhambi mshahara wake
 
Sijui kwanin yani mana hata mke me siwezi kumwacha hadi leo hiii navyo Andika ujumbe huu... Yani hata mm sielewi
 
Hakuna raha kama kupiga kitu akili imetuliaaa, hufikirii kukabwa na pesa ya salooni wala makolokolo mengine.
 
Hii imakaaje,... Nilishawahi kufanya hii dhambi,.. Nashukuru nimeweza kujinasua kwenye hili tatizo, maana ukishaingia huku, kutoka ni Kazi kweli kweli.... Mke wa mtu anakuwaga mtamu saaana halafu penzi lake ni matata na halichoshi....inasababishwa na nini hii kitu...
Kwasabu ni wa mtu hata wako ni mtamu kwa mtu mwingine
 
Hii imakaaje,... Nilishawahi kufanya hii dhambi,.. Nashukuru nimeweza kujinasua kwenye hili tatizo, maana ukishaingia huku, kutoka ni Kazi kweli kweli.... Mke wa mtu anakuwaga mtamu saaana halafu penzi lake ni matata na halichoshi....inasababishwa na nini hii kitu...
unapaswa kuwa na elimu ya kutosha kuhusu vilainishi na uwe unatembea navyo.
 
Back
Top Bottom