Mke wa mtu mtamu bwana

BLUE BALAA

JF-Expert Member
Nov 30, 2010
1,222
764
Kweli jamani najua sana madhara yake ila mke wa mtu mtamu bwana. Kwanza ni nzuri kama wote mnaiba. Yani mwanaume kaoa na mwanamke kaolewa, yani mkikutana kwenye kuchakachua penzi utamu wake hauni kifani.
 
Kweli jamani najua sana madhara yake ila mke wa mtu mtamu bwana. Kwanza ni nzuri kama wote mnaiba. Yani mwanaume kaoa na mwanamke kaolewa, yani mkikutana kwenye kuchakachua penzi utamu wake hauni kifani.

mkuu, lini utakufa? , utupunguzie idadi ya wazembe duniani.

asante kwa ushirikiano
 
Kweli jamani najua sana madhara yake ila mke wa mtu mtamu bwana. Kwanza ni nzuri kama wote mnaiba. Yani mwanaume kaoa na mwanamke kaolewa, yani mkikutana kwenye kuchakachua penzi utamu wake hauni kifani.

Ni dhambi kwanza na pia Fikiria nawe mke wako anafanywa kitu mbaya. Utafurahia?
 
Kweli jamani najua sana madhara yake ila mke wa mtu mtamu bwana. Kwanza ni nzuri kama wote mnaiba. Yani mwanaume kaoa na mwanamke kaolewa, yani mkikutana kwenye kuchakachua penzi utamu wake hauni kifani.

Aisee unadhalilisha JF sana.You are surely "not a great thinker." Shetani amekuvaa kweli.
 
Kweli jamani najua sana madhara yake ila mke wa mtu mtamu bwana. Kwanza ni nzuri kama wote mnaiba. Yani mwanaume kaoa na mwanamke kaolewa, yani mkikutana kwenye kuchakachua penzi utamu wake hauni kifani.

kwa nini umeamua kupost thread ya namna hii......?
 
huna adabu, nahisi nyie ndo mnasababisha malumbano ya kuanzisha ile mahakama ya kazi yapambe moto.
 
Kweli jamani najua sana madhara yake ila mke wa mtu mtamu bwana. Kwanza ni nzuri kama wote mnaiba. Yani mwanaume kaoa na mwanamke kaolewa, yani mkikutana kwenye kuchakachua penzi utamu wake hauni kifani.

Nakubaliana na wewe! Hamna "Liabilities" unapo do na mke wa mtu - It is just funny and sweet
 
jinga,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,unajua mazara yake hujawahi kusikia wenzako wanavyofanywa utatolewa b.kra ya nyuma ohoooh,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,chezea haoahao huko kwenu huku tuna ku do....tu,pumbafu
 
Kweli jamani najua sana madhara yake ila mke wa mtu mtamu bwana. Kwanza ni nzuri kama wote mnaiba. Yani mwanaume kaoa na mwanamke kaolewa, yani mkikutana kwenye kuchakachua penzi utamu wake hauni kifani.

Kweli ukimwi hauwezi kuisha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom