Naona watu wengi wameandika ila mii naomba nitoe USHAURI wangu kama ifuatavyo;
1. Tatizo hapo ni simu, hivyo usimame kama Mwanamme Ushuhulikie tatizo la simu na sio mengingineyo
2. unaweza kuchukua hatua kama kupiga marufuku kwa huyo mwanamke wako kuongea na hao wanaume na kama sijui ni shemeji yake ni marufuku shemeji kumpigia simu kwa simu za watu; Huyo shemeji akitaka kuongea naye atumie simu ya mzazi wake au ndugu yake unayemfaham; akiwa na udhuru atume tafadhali nipigie waifu ampigie au atumie simu yako kumpigia.
3. Huyo mkeo inaonekana hayuko busy ndio sababu anakuwa na muda mchafu wa kufikiria wanaume.
i. kama unaweza mfungulie hata kigenge/kibanda ili awe bize
ii. kama ana house girl fanya mpango aondoke kwa muda ili awe bize
4. Onyesha kuwa umekasirishwa na hicho kitendo chake ikiwemo kuacha unyumba kwa muda (ukiweza)
5. Tatizo lako linaweza kupata muafaka na kulimaliza hivyo usiwazie mambo ya TALAKA eti kwa sababu ya simu. Chukua hatua ya kukomesha matumizi ya simu
Mwisho; matatizo mazito ya Familia hayataki hasira wala maamuzi ya haraka haraka.
Muoneshe kuwa umekasirika ila sio kwa kufoka kupitiliza
Huvutii kivile ila unavutia utamu utamuUrafiki kati ya mwanaume na mwanamke upo,ninao marafiki wengi wa kiume kuliko wa kike na sitarajii kuliwa na rafiki yangu yoyote wa kiume...i mean suala la kuliwa halipo
Najua haters watasema itakuwa sivutii...kwa taarifa yenu navutia,sema sivutii kiviiile ila navutia
Urafiki utabaki kuwa urafiki kama mmoja kati ya wawili atakuwa na msimamo wa urafiki