Mke wa mtu huyu

Isije ikawa subject ni wewe mwenyewe unatucheza akili!!! We endelea tu kama hujatolewa macho.
 

Wewe mbona umetumia lugha isiyo na staha? Kumgegeda ndo nini??? Siyo matusi ama kejeli hizo?
 
Nashukuru kwa ushauri Gilo24,.nitafikisha hilo, wengine mnakaribishwa pia kuchangia..

Wewe na huyo unayemuombea ushauri akili zenu sawa na huyo mwanamke mwenzenu. Yaani unaomba ushauri kwa jambo la kijinga namna hii? Kwa hiyo unataka tumshaurije, kwamba aanze kumfanya na mkeo au?

Kuna mijitu mijinga humu jamani hadi kero. Mwambie aanze kumbandua na mkeo manake hata wewe unaonekana huna nguvu ndio sasa umeanza ukuwadi, 'babu ally' wewe.
 
mshikaji keshasoma hapa JF ameshajua mchezo mzima
rafikio mwambie ajiandee kupasuliwa tigo,.
chezea mke wa mtu eee??? atafute wake.
 
.....sasa kama mumewe anaumwa na yupo ktk matibabu.. mnategemea bi dada akae bila huduma.. wafanye tu kwa heshima.. 3 moonsss si rahisi
 
"mwanangu, umekua sasa. Kokote huendako, ogopa sana kitu inaitwa mke wa mtu. Usiporogwa, utachinjwa live". Nakumbuka maneno hayo ya marehemu baba yangu
 
Ok kumbe mumewe anaumwa,! basi mwambie jamaa aendeleze libeneke. Angalizo ni kwamba nae atakapo pata wake asiwe mkali akisikia mkewe tunamgegeda ye akiwa na upumgufu wa nguvu! Alafu bana me naona maada nyingine zipo kimbea zaidi kama vp msiwe mnaleta hapa!
 
Nishamjua huyu jamaa yako (kama ulivyojifanya kusema) ni muuza madawa ya binadamu mahali flani kuleeeeee uzunguni, ako very interesting jamaa anavyowatafuna wake za watu. Siku inakuja watamkata na korodani na vile apenda manzi wa enzake
 
Unamatatizo wewe. Matatizo yako unayoleta ni ya kiutaira.
Una uhakika gani kama huyo mwanamke ni dokta? Kama ni dokta, basi dokta mcharuko.
Na munauhakika gani kama kaolewa? Danganyaneni tu, wewe mwenyewe ndio mwenye tatizo hilo
 
Mshauri jamaa wako aache huo mchezo cuz consequences zake atakuja jutia sana!!
 

THANKS
Ablessed kwa ushauri wko mzr...
 
Kama mke ana ukimwi basi na yeye anaupata, unataka ushauri kwani yeye na utu uzima si anajua anachofanya au? Tena nitakataka ya wengi mmmmhhh anapewa pesa huyo.

Ni kweli ila ndio kondoo ameshapotea kwaiyo mm nafanya jitihada za kumrudsha kundini,...
 

Mimi ndiye mshauri wke nambari 1 kwaiyo ananipa fursa ya kuweza kumshauri ili aachane na huyo mke wa m2, na hata haya mawazo yenu nae pia anayasoma coz jana nilikuwa naye na 2kapata muda wa kuyasoma pamoja ili aweze kuamini kwamba w2 wanapingana na dhambi ambayo anayoifanya kwa wkt huu, ama kwa hakika ni mimi niliyekuja na mada za kukataliwa kwani nafahamu huwezi kupendwa na wanawake wote dunia hii kuhusu kuleta mada hizi ni kwamba naamini kwamba hapa JF kuna w2 mbalimbali na wenye mawazo makubwa ambayo yanaweza kusaidia kumbadilisha m2 kitabia hata kimaadili ndio dhima yangu kubwa ya kuleta mada zangu hapa, ucsahau MFICHA MARADHI KIFO HUMUUMBUA..
 
madaktari na manesi usioe kama una roho ndogo! night zinawafanya wafanye vitu vya ajabu

Most of them wanatumia mida yao ya kazi kufanya hayo mambo ambayo sio halali kabsa.
 
waume za watu watimize wajibu wao kwa wake zao kwenye kila setka kwa kila namna..

Hilo ndilo la msingi, nilichogundua kwa huyu Mke wa m2 kulingana na jamaa yangu alivyonicmulia ni kwamba jamaa hajui kujishusha kwa mke wke au kumbembeleza ndio maana jamaa akatumia udhaifu huo kumvuruga huyu mke wa m2..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…