Mke wa mtu anataka nimuoe

Mke wa mtu anataka nimuoe

pochetino

Senior Member
Joined
Mar 23, 2015
Posts
132
Reaction score
23
Nitaongea kifupi japo ni stori ndefu, mwaka 2010 nikiwa form 4-6 Mtwango Sec, Njombe kuna mwanafunzi altokea kunipenda sana. Anavyonifata mimi alikuwa na mimba ya miezi miwili, mi sikumkataa nikajua labda ni mimba tu, basi nilijatahidi kuwa nae karibu ila kimapenzi nilkuwa namkwepa sana.

Siwezi kuficha jumapili moja akiwa na mimba ya miezi mitano wakati tunarudi kanisani nilijkuta njiani nimekula mzigo, toka siku ile nilianza kumpenda sana.Muda mwingine prepo tulikuwa wote hadi watu wakawa wanasema mimba ni yangu sikujali.
Mwezi wa 10 akiwa na mimba miezi 8 alimaliza salama form4 na kurudi kwao.

Tuliwasiliana kwa miezi mi 5 tukapoteza mawasiliano na hivi juzi tumeonana tena facebook kanitumia namba yake yaani ni stor na kuchati tu hadi sasahivi, anasema huu mwaka wa pili anaishi na yule jamaa (dereva) muhusika na mtoto wao japokuwa kwao mshkaji hatambuliki aliona maisha magumu akaenda mwenyewe.

Shida inakuja hapa huyu mwanamke anataka nimuoe anasema yeye hakumpenda huyo jamaa ni utoto na tamaa wanapishana miaka 8, kiukweli nampenda bado.

Wadau ushauri jamani
 
Kwahiyo huyo binti alikua akisoma na mimba? Ebu tuanzie hapo kwanza
 
Jaribu, utafia Jera ya Mapenzi , kifungo maisha.
 
Duh aisee hapa yote umenikumbusha tuu kina nyudike mushu kisoso hawa jamaa wakishika zamu ni shida

ok turudi kwenye mada

Nadhani unatakiwa kujipima wewe na ujue kuwa hawa wanawake mpk akubali kubeba mimba ya mwanaume ujue anamkubali 100% sasa angalia asije tua shida zake kwa muda halafu ukajikuta umezama mwisho anakwambia narudi kwa mshikaji nimeamua tukalee mtoto wetu kwa maadili ya baba na mama sasa pima upepo huo
 
Halafu edit kwanza uandishi wako wa facebook. humu wanasoma wengi wageni na watu wenye heshima zao. rekebisha kwanza uandishi wako ndipo nichangie
 
Hebu angalia humu ndani wenye mwandiko kama wako ni wangapi? Tafakari na badilika!
 
siku sio nyingi ulikuja na habari hapa unapenda malaya huyu naye malaya?
 
Mlikua mnatoka kanisani njiani ukala mzigo..aisee fafanua kwanza hili la kula mzigo wakati mnatoka kanisani labda sikukuelewa vizuri.
 
Wewe kwani unataka yeye siana takaumuoe na kama mwanaume lini utatoa maamuzi kama mwanaume maana unanishangaza hata kwailo mwanaume mzma unataka wakwambie nn
 
Du kafanya mtihani wa form four akiwa na mimba ya miezi nane? Aya tuachane na hilo kwamaana inawezekana ni ile elimu ya secondari ya jioni maana wengine wanakuwa ni wake za watu.

Haya sasa, mnatoka church njiani unaonja mimba? Ulivyoona tamu ukaamua uendeleze. Kwa taarifa yake ule utamu ni kwaajili ya joto la mimba, sasa hivi hana tena huo utamu.

Demu kaka na mwanaume kwa miaka miwili alafu anakwambia kuwa hampendi, sawa bwana wewe kamuoe na mahari mpe huyo mume wanae ishi nae atafurahi sana.
 
Back
Top Bottom