Mbona we hujaniweka pabaya...???na ukimuentertain atakuweka pabaya kweli......
Mbona we hujaniweka pabaya...???
Wadau, kuna dada mdogo hivi wa miaka 21 mke wa mtu ambaye hunisumbua akitaka kampani yangu hata kunitembelea weekend kwa kuwa mimi sijaoa. Mwanzoni alikuja kwangu kuomba ushauri juu ya manyanyaso anayofanyiwa na mumewe lakini sasa amefikia hatua ya kunitamkia wazi wazi kuwa anataka nitoke naye. Nilimwambia siwezi kutoa ushauri wa maana kuhusu ndoa wakati mimi mwenyewe sijaingia huko, nikamshauri awatafute watu wazima wao watakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi kiushauri kuliko mimi. Nimekuja hapa kuomba ushauri namna ya kumuepuka maana tupo ofisi zinazopakana hivyo kuonana huwa mara kwa mara.
Wadau, kuna dada mdogo hivi wa miaka 21 mke wa mtu ambaye hunisumbua akitaka kampani yangu hata kunitembelea weekend kwa kuwa mimi sijaoa. Mwanzoni alikuja kwangu kuomba ushauri juu ya manyanyaso anayofanyiwa na mumewe lakini sasa amefikia hatua ya kunitamkia wazi wazi kuwa anataka nitoke naye. Nilimwambia siwezi kutoa ushauri wa maana kuhusu ndoa wakati mimi mwenyewe sijaingia huko, nikamshauri awatafute watu wazima wao watakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi kiushauri kuliko mimi. Nimekuja hapa kuomba ushauri namna ya kumuepuka maana tupo ofisi zinazopakana hivyo kuonana huwa mara kwa mara.
Husninyo :rolleyez::rolleyez::rolleyez::rolleyez::rolleyez::rolleyez::rolleyez::rolleyez::rolleyez::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7:mpe mambo huyo.
Wadau, kuna dada mdogo hivi wa miaka 21 mke wa mtu ambaye hunisumbua akitaka kampani yangu hata kunitembelea weekend kwa kuwa mimi sijaoa. Mwanzoni alikuja kwangu kuomba ushauri juu ya manyanyaso anayofanyiwa na mumewe lakini sasa amefikia hatua ya kunitamkia wazi wazi kuwa anataka nitoke naye. Nilimwambia siwezi kutoa ushauri wa maana kuhusu ndoa wakati mimi mwenyewe sijaingia huko, nikamshauri awatafute watu wazima wao watakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi kiushauri kuliko mimi. Nimekuja hapa kuomba ushauri namna ya kumuepuka maana tupo ofisi zinazopakana hivyo kuonana huwa mara kwa mara.
sasa unaomba ushauri wa nini?acha upuuz wa ktoto,yan unajua mke wa mtu sumu ila unakaa na kuandka ujinga wako.Ucjaribu sumu kwa kuilamba et huamin inaua.take care kijana inaonekana upeo wako mdogo sana mpaka unafkia kuomba ushaur ukitegemea watu watakusuport ili ufanye ujinga wako.
Ahsante mkuu kwa ushauri wako mzuri. Sina nia hata kidogo nataka nimuepuke nisiwe chanzo cha ndoa ya mtu kuyumba.[/QUOTE]
Usiwaze kuyumba kwa ndoa tuu (kwani tayari wana migogoro yao); fikiria pia mashamsham ya FUMANIZI pale mme mtu akikufuma......Usijekupoteza KIZAZI wakati nawewe umesema bado kijana hujaoa. TAFAKARI
Wadau, kuna dada mdogo hivi wa miaka 21 mke wa mtu ambaye hunisumbua akitaka kampani yangu hata kunitembelea weekend kwa kuwa mimi sijaoa. Mwanzoni alikuja kwangu kuomba ushauri juu ya manyanyaso anayofanyiwa na mumewe lakini sasa amefikia hatua ya kunitamkia wazi wazi kuwa anataka nitoke naye. Nilimwambia siwezi kutoa ushauri wa maana kuhusu ndoa wakati mimi mwenyewe sijaingia huko, nikamshauri awatafute watu wazima wao watakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi kiushauri kuliko mimi. Nimekuja hapa kuomba ushauri namna ya kumuepuka maana tupo ofisi zinazopakana hivyo kuonana huwa mara kwa mara.
Wadau, kuna dada mdogo hivi wa miaka 21 mke wa mtu ambaye hunisumbua akitaka kampani yangu hata kunitembelea weekend kwa kuwa mimi sijaoa. Mwanzoni alikuja kwangu kuomba ushauri juu ya manyanyaso anayofanyiwa na mumewe lakini sasa amefikia hatua ya kunitamkia wazi wazi kuwa anataka nitoke naye. Nilimwambia siwezi kutoa ushauri wa maana kuhusu ndoa wakati mimi mwenyewe sijaingia huko, nikamshauri awatafute watu wazima wao watakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi kiushauri kuliko mimi. Nimekuja hapa kuomba ushauri namna ya kumuepuka maana tupo ofisi zinazopakana hivyo kuonana huwa mara kwa mara.
Mbona sasa kila kitu ushasuluhisha mwenyewe mkuu!!Huyo dawa ni kukata mawasiliano yote nae..Badilisha mpaka line ya simu!!Wadau, kuna dada mdogo hivi wa miaka 21 mke wa mtu ambaye hunisumbua akitaka kampani yangu hata kunitembelea weekend kwa kuwa mimi sijaoa. Mwanzoni alikuja kwangu kuomba ushauri juu ya manyanyaso anayofanyiwa na mumewe lakini sasa amefikia hatua ya kunitamkia wazi wazi kuwa anataka nitoke naye. Nilimwambia siwezi kutoa ushauri wa maana kuhusu ndoa wakati mimi mwenyewe sijaingia huko, nikamshauri awatafute watu wazima wao watakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi kiushauri kuliko mimi. Nimekuja hapa kuomba ushauri namna ya kumuepuka maana tupo ofisi zinazopakana hivyo kuonana huwa mara kwa mara.