Jeanclaude
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 259
- 238
- Thread starter
- #41
Mbona sasa kila kitu ushasuluhisha mwenyewe mkuu!!Huyo dawa ni kukata mawasiliano yote nae..Badilisha mpaka line ya simu!!
Ahsante kwa ushauri wako mkuu. Kubadili namba yangu si rahisi nitapoteza hazina kubwa (network) ya watu. Pia ni vigumu kutoa maelezo kwa watu wangu karibu kama girlfriend and the family labda niswitch network which isn't worth doing. Kuhusu kukata mawasiliano ni kweli.