dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Mla huliwa sasa jiandae kisaikolojia
Ngoja wakakukate kikojoleo.
ndugu kama itawezekana ungeiondoa hii picha maana haina maadili mazuri ukizingatia nowadays hata watoto wanaingia JF ...samahani kama ntakuwa nimekukwaza
Hivi hii amri ilikuwakuwa vipi ikaitwa ya sita wakati ni ya saba?Sio amri ya saba ni ya sita usizini
Mbona kwenye biblia ni ya saba au nyie mnasoma biblia gani nipe na kifunguAchana nae huyooo, by the way ni. Amri ya sita muuulize yule mwenzako wa kawe
Hahaaaa jf raha sanaEndelea kumsaidia kadri moyo wako unavohitaji kumsaidia.
....Hawa watoto wa shule sijui wanafanya nini humu.Miezi miwili iliyopita kupitia Fb nilibahatika kuomba urafiki kwa mwanamke mmoja hivi.
Baada ya kuwa marafiki tulianza Ku chart na hatimaye kuomba tunda kwa mwanamke huyo.
Mungu si Athumani bana ombi langu likakubaliwa na tukakubaliana tukutane sehemu fulani hivi kwa ajili ya show la kibabe.
Siku ya kwanza tuliyokubaliana nilimyeyusha kuwa Nina udhuru kidogo hivyo tukapanga siku nyingine tena ya kupiga show hiyo.
Siku hiyo by saa 5 hivi tulifanikiwa kukutana eneo la tukio kisha tukachukua chumba na kuanza kuivunja amri ya saba inayokataza "Usizini".
Tulipiga show ya kibabe sana, mke huyo wa mtu alifurahia saaana jinsi nilivyomshughulikia kikamilifu na hakika ali enjoy.
Sasa,mwanamke huyu amekuwa ananiganda saana tuzidi kuivunja amri hiyo ya saba kwa madai mumewe ambaye ni Fundi magari/garage hajawahi kumpiga show kama niliyompatia na siku nyingine huwa akirudi hufika na kuegesha kitandani kimoja bila kumshughulikia,au akijitahd humpiga goli moja wakati mwanamke huyo ndo kwanza anadaiiii.
Vp,niendelee kumsaidia?
Kweli mke
Kwenye biblia imeandikwa ni amri ya sita,we umeitoa katika kitabu gani???Hivi hii amri ilikuwakuwa vipi ikaitwa ya sita wakati ni ya saba?