greater G
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 308
- 218
Miezi miwili iliyopita kupitia Fb nilibahatika kuomba urafiki kwa mwanamke mmoja hivi.
Baada ya kuwa marafiki tulianza Ku chart na hatimaye kuomba tunda kwa mwanamke huyo.
Mungu si Athumani bana ombi langu likakubaliwa na tukakubaliana tukutane sehemu fulani hivi kwa ajili ya show la kibabe.
Siku ya kwanza tuliyokubaliana nilimyeyusha kuwa Nina udhuru kidogo hivyo tukapanga siku nyingine tena ya kupiga show hiyo.
Siku hiyo by saa 5 hivi tulifanikiwa kukutana eneo la tukio kisha tukachukua chumba na kuanza kuivunja amri ya saba inayokataza "Usizini".
Tulipiga show ya kibabe sana, mke huyo wa mtu alifurahia saaana jinsi nilivyomshughulikia kikamilifu na hakika ali enjoy.
Sasa,mwanamke huyu amekuwa ananiganda saana tuzidi kuivunja amri hiyo ya saba kwa madai mumewe ambaye ni Fundi magari/garage hajawahi kumpiga show kama niliyompatia na siku nyingine huwa akirudi hufika na kuegesha kitandani kimoja bila kumshughulikia,au akijitahd humpiga goli moja wakati mwanamke huyo ndo kwanza anadaiiii.
Vp,niendelee kumsaidia?
Kweli mke
Baada ya kuwa marafiki tulianza Ku chart na hatimaye kuomba tunda kwa mwanamke huyo.
Mungu si Athumani bana ombi langu likakubaliwa na tukakubaliana tukutane sehemu fulani hivi kwa ajili ya show la kibabe.
Siku ya kwanza tuliyokubaliana nilimyeyusha kuwa Nina udhuru kidogo hivyo tukapanga siku nyingine tena ya kupiga show hiyo.
Siku hiyo by saa 5 hivi tulifanikiwa kukutana eneo la tukio kisha tukachukua chumba na kuanza kuivunja amri ya saba inayokataza "Usizini".
Tulipiga show ya kibabe sana, mke huyo wa mtu alifurahia saaana jinsi nilivyomshughulikia kikamilifu na hakika ali enjoy.
Sasa,mwanamke huyu amekuwa ananiganda saana tuzidi kuivunja amri hiyo ya saba kwa madai mumewe ambaye ni Fundi magari/garage hajawahi kumpiga show kama niliyompatia na siku nyingine huwa akirudi hufika na kuegesha kitandani kimoja bila kumshughulikia,au akijitahd humpiga goli moja wakati mwanamke huyo ndo kwanza anadaiiii.
Vp,niendelee kumsaidia?
Kweli mke