Mke wa mtu ananiganda

Mke wa mtu ananiganda

greater G

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2016
Posts
308
Reaction score
218
Miezi miwili iliyopita kupitia Fb nilibahatika kuomba urafiki kwa mwanamke mmoja hivi.

Baada ya kuwa marafiki tulianza Ku chart na hatimaye kuomba tunda kwa mwanamke huyo.

Mungu si Athumani bana ombi langu likakubaliwa na tukakubaliana tukutane sehemu fulani hivi kwa ajili ya show la kibabe.

Siku ya kwanza tuliyokubaliana nilimyeyusha kuwa Nina udhuru kidogo hivyo tukapanga siku nyingine tena ya kupiga show hiyo.

Siku hiyo by saa 5 hivi tulifanikiwa kukutana eneo la tukio kisha tukachukua chumba na kuanza kuivunja amri ya saba inayokataza "Usizini".

Tulipiga show ya kibabe sana, mke huyo wa mtu alifurahia saaana jinsi nilivyomshughulikia kikamilifu na hakika ali enjoy.

Sasa,mwanamke huyu amekuwa ananiganda saana tuzidi kuivunja amri hiyo ya saba kwa madai mumewe ambaye ni Fundi magari/garage hajawahi kumpiga show kama niliyompatia na siku nyingine huwa akirudi hufika na kuegesha kitandani kimoja bila kumshughulikia,au akijitahd humpiga goli moja wakati mwanamke huyo ndo kwanza anadaiiii.

Vp,niendelee kumsaidia?

Kweli mke
 
Jitaidi na kusoma vitabu vitakatifu kwa jinsi ulivyozunguwa na mambo ya dunia hâta amri za Mungu hauzijui .Nakushauri endelea naya na show za kibabe lakini kumbuka kuziba 0715 yako
 
nasubiri kwa hamu siku utakayoleta mrejesho yalokukuta baada ya kufumwa na mke wa mtu.nakusihi tu usisahau kutembea na kikopo cha reys au achana naye haraka bado unayo nafasi
 
NAJUA KILA KITU MNACHOFANYA, NAPANGA KITU CHA KUKUFANYA NA HASA NAFIKIRIA KUKUVURUGA TOPE.!!

 
nasubiri kwa hamu siku utakayoleta mrejesho yalokukuta baada ya kufumwa na mke wa mtu.nakusihi tu usisahau kutembea na kikopo cha reys au achana naye haraka bado unayo nafasi
Huyo mrejesho wala hataurusha tutauona mtandaoni na kwenye magazeti ya udaku
 
Jitaidi na kusoma vitabu vitakatifu kwa jinsi ulivyozunguwa na mambo ya dunia hâta amri za Mungu hauzijui .Nakushauri endelea naya na show za kibabe lakini kumbuka kuziba 0715 yako
Biblia gani boss inayo sema amri ya sita ni usizini nipe kifungu nikasome
 
Mimi mtu akishaandika "chart" badala ya "chat" huwa sisomi hoja zake tena.. Hakuna kitu cha maana atakachoongea kama hayo maneno hayajui tofaut yake
 
Jiandae na ww kufumuliwa marinda siku moja
 
Back
Top Bottom